Kiungo Sudan bado haamini kilichotokea CHAN 2024

BAADA ya kufanikiwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mchezo dhidi ya Senegal, kiungo mkabaji wa Sudan, Salah Eldin Adil Ahmed Al Hassan amesema haikuwa rahisi kuwazuia mabingwa watetezi, ila juhudi na kufuata maelekezo ndio siri ya kuambulia suluhu. Salah alitwaa tuzo hiyo baada ya kuwa sehemu ya ukuta imara wa Sudan ambao ulifanikiwa wa…

Read More

Ndugu wa ajali mgodini waishukuru Serikali

Shinyanga. Ikiwa ni siku ya 10 tangu kutokea kwa ajali ya mgodi, baadhi ya ndugu wa wafanyakazi waliokwama chini ya ardhi kutoka familia 17, bado wanaendelea kusubiri kwa matumaini ndugu zao waokolewe wakiwa salama. Pia, wameeleza namna ambavyo Serikali imekuwa ikitoa huduma muhimu kwao katika kipindi hiki kigumu. Wakizungumza na Mwananchi leo, Agosti 20, 2025,…

Read More

Kocha Nigeria avimbia kiwango akiaga CHAN

NIGERIA imehitimisha safari yake kwenye mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) 2024 kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Congo katika mechi iliyochezwa Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, lakini matokeo hayo hayakuzuia kufungasha virago vyao. Kocha wa Nigeria, Eric Chelle, alisema ingawa timu yake imetolewa mapema, kiwango walichoonyesha…

Read More

Cherubin Basse-Zokana aiunga mkono Stars

NAHODHA wa timu ya taifa ya Afrika ya Kati, Cherubin Basse-Zokana ameipongeza Taifa Stars kwa kufuzu hatua ya robo fainali ya mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) 2024 na kutabiri kuwa inaweza kuing’oa  Morocco na kutinga nusu fainali. Basse-Zokana, ambaye alikuwa mhimili wa kikosi cha Afrika ya Kati katika mechi zote…

Read More

MASHINDANO YA MPIRA WA KIKAPU YA MAKAMPUNI YA KICHINA NCHINI YANAJENGA MADARAJA YA KIBIASHARA

Stanbic yashiriki katika awamu ya 12 kuunga mkono uhusiano wa kina zaidi kati ya jumuiya za biashara za Kichina na Kitanzania.•  Mashindano haya yanaunganisha michezo, utamaduni na mtandao wa kibiashara, yakitoa mwanga wa kipekee juu ya mahusiano yanayokuwa kati ya wawekezaji wa Kichina na jamii za Kitanzania.• Stanbic inasaidia mashindano haya kama sehemu ya dhamira…

Read More

SMZ kuongeza ushirikishwaji watu wenye ulemavu

Unguja. Katika kutatua changamoto za watu wenye ulemavu, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imetaja hatua inazochukua ikiwa ni pamoja na kuimarisha ushiriki wao katika ngazi za uamuzi kutoka asilimia mbili za sasa hadi tano ifikapo mwaka 2030. Hayo yameelezwa leo Jumatano Agosti 20, 2025 na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman…

Read More