Mapigano Marekani, Israel na Iran yazidi kupanuka

Ni piga nikupige. Ndivyo unavyoweza kuelezea hali ya mambo Mashariki ya Kati ambapo mashambulizi yanayohusisha Marekani na Israel dhidi ya Iran yameendelea siku ya sita huku Iran nayo ikijibu mapigano kwa Israel na kambi za kijeshi za Marekani katika ukanda huo. Kutokana na Iran kuzilenga kambi za Marekani, imejikuta ikirusha makombora yake hadi katika mataifa…

Read More

NCBA Bank Launches “Numbers That Matter – Maisha Ni Hesabu” Campaign in Tanzania

NCBA Bank has officially unveiled its new brand campaign, “Numbers That Matter – Maisha Ni Hesabu”, signaling a renewed commitment to driving impact across Tanzania. The campaign highlights how every decision from financial choices to community actions adds up to meaningful progress for individuals, businesses, and society at large. Speaking at the launch in Dar…

Read More

Subira Mgalu Aahidi Kuboresha Afya, Maji na Barabara Bagamoyo

Na Mwandishi Wetu, Bagamoyo Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bagamoyo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Subira Mgalu, ameahidi kuboresha huduma za afya, maji na miundombinu ya barabara endapo atapewa ridhaa ya kuwaongoza wananchi katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza katika uzinduzi wa kampeni uliofanyika jimboni humo, Mgalu alisema ataweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha…

Read More

Auawa kisa ushabiki wa dabi ya Simba, Yanga Songwe

Songwe. Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamtafuta Evacery Mwaweza mkazi wa Kitongoji cha Ululu kiijiji cha Idiwili kata ya Idiwili wilayani Mbozi mkoani Songwe kwa tuhuma za kusababisha kifo cha Zabroni Mwambogolo (28) mkazi wa kitongoji hicho wakati wakiangalia mpira wa Simba na Yanga. Akizungumzia tukio hilo leo Jumatano Septemba 17,2025 Kamanda wa Polisi Mkoa…

Read More