Vijana kujadili ushiriki wa michakato ya kidemokrasia

Arusha. Vijana kutoka mikoa mbalimbali nchini wanatarajiwa kujadili ushiriki wao katika michakato ya kidemokrasia kwenye maadhimisho ya sita ya Asasi za Kiraia (Azaki), yanayotarajiwa kuanza kesho jijini hapa. Maadhimisho hayo ya wiki ya Azaki yatafanyika kuanzia Septemba 9 hadi 13, 2024 na yanatarajiwa kuhudhuriwa na washiriki zaidi ya 500. Akizungumza na waandishi wa habari leo…

Read More

SERIKALI KUTATUA CHANGAMOTO ZA WANAFUNZI WENYE ULEMAVU NCHINI

Na Mwandishi wetu -Dodoma Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  kupitia  Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) imeendelea kuiishi kauli mbiu ya “Kazi na Utu” kwa kufanya ziara maalum ya kuwatembelea wanafunzi wenye mahitaji maalum waliopo vyuo vikuu Nchini kwa lengo la kusikiliza changamoto zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi ili kuwasaidia…

Read More

Kibabage asimulia alivyojikuta hospitali, mama azungumza

BEKI wa kushoto wa Yanga, Nickson Kibabage amesema kwamba alijikuta hospitali baada ya kupoteza fahamu katika mchezo wa Kombe la Shirikisho (FA) dhidi ya Ihefu SC jana, lakini hakumbuki nini kilitokea kabla ya hapo. Kibabage aliyeanguka mwishoni mwa kipindi cha kwanza cha mchezo huo, mwanzoni mwa msimu huu alikuwa akiichezea Singida Fountain Gate kabla ya…

Read More

Watatu wafa kipindupindu kikitajwa Mbeya

Mbeya. Watu watatu wakiwamo wawili wa familia moja wamefariki dunia wakihofiwa kuugua kipindupindu katika Mtaa wa Ilolo, Kata ya Ruanda jijini Mbeya. Akizungumza Mwananchi leo Desemba 24, Mwenyekiti wa Mtaa wa Ilolo, Ezekiel Mwasandube amesema mmoja kati ya watu hao amezikwa. “Wengine tunasubiri kibali kwa kuwa miili ipo hospitali, tunapaswa kila mmoja kuchukua tahadhari,” amesema….

Read More

Sababu watoto wengi wa kupandikiza kuzaliwa wa kiume

Dar es Salaam. Wazazi wengi huamini kuwa nafasi ya kupata mtoto wa kiume au wa kike ni sawa, yaani 50 kwa 50. Lakini wale wanaopata watoto kupitia njia ya upandikizaji mimba kwa njia ya ‘In Vitro Fertilization’ (IVF) wana uwezekano mkubwa zaidi wa kupata mtoto wa kiume, kwa mujibu wa wanasayansi. Utafiti mpya uliowasilishwa kwenye…

Read More

Treni ya SGR yabuma tena Morogoro

WAKATI Rais Samia Suluhu Hassan leo Alhamisi akizindua rasmi huduma za usafiri wa reli ya kisasa (SGR), treni iliyokuwa imebeba wageni walioshiriki uzinduzi huo wakiwamo mabalozi na abiria kutokea mkoani Dodoma, imepata tena hitilafu karibu na Stesheni ya Morogoro kwa zaidi saa moja sasa. Treni hiyo iliyoanza safari 2:10 jijini Dodoma, imekwama kwa zaidi ya…

Read More