WANANCHI JITOKEZE USHIRIKI UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA

OfisaTarafa wa Nyaishozi Kelvin Berege amekabidhi Reflectors kwa maofisa Usafirishaji ( Boda Boda ) wa Kata zote ndani ya tarafa hiyo. Lengo ni kuendelea kutoa elimu na kuhamasisha makundi mbalimbali ndani ya jamii, juu ya haki na wajibu wa mwananchi Kupiga/Kupigiwa Kura ifikapo Novemba 27 mwaka huu ambapo utafanyika uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Read More

Mwandishi Mwanaspoti apewa cheti cha Heshima na Ubalozi wa Marekani

MWANDISHI wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited ambaye amekuwa akiandikia gazeti namba moja la michezo Tanzania, Mwanaspoti, Nevumba Abubakar, ameandika historia mpya katika taaluma yake baada ya kutunukiwa cheti cha heshima na Ubalozi wa Marekani, ikiwa ni sehemu ya kutambua umahiri wake kwenye utengenezaji wa maudhui ya kidigitali. Nevumba amekuwa mmoja wa vijana wachache waliobahatika…

Read More

Utulivu watanda makanisa ya Askofu Gwajima

Dar/mikoani. Siku moja baada ya Serikali ya Tanzania kutangaza kulifuta Kanisa la Ufufuo na Uzima, hali imekuwa tofauti katika makanisa hayo mikoani kwa kila mmoja kusema lake. Uamuzi wa Serikali kulifuta kanisa hilo linalomilikiwa na Askofu Josephat Gwajima ni kile kilichoelezwa na Msajili wa Jumuiya za Kiraia, Emmanuel Kihampa ni ukiukwaji wa Sheria ya Jumuiya…

Read More

KEDA (T) CO LTD YAGUSA JAMII KUJENGA DARAJA LA MBEZI-MSORWA-SHUNGUBWENI-BOZA

Mwamvua Mwinyi, Pwani KIWANDA cha KEDA (T) Ceramic Co. Ltd kimekamilisha ujenzi wa daraja katika Mto Msorwa, barabara ya Mbezi-Msorwa-Shungubweni-Boza, lililogharimu milioni 150 ili kuunganisha maeneo hayo. Mradi huo umetokana na mpango wa Kiwanda cha KEDA wa kurudisha fadhila kwa jamii pamoja na kuunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha wananchi wanaonufaika…

Read More

Zile 10 za Chikola zapata ugumu

NYOTA wa Tabora United, Offen Chikola amekiri ameanza kupata shaka ya kutimiza ndoto zake za kufunga mabao 10 msimu huu ili kuweka rekodi binafsi katika Ligi Kuu Bara iliyopo ukingoni. Mshambuliaji huyo, alisema kwa sasa anakuna kichwa ili kuona anazitumia mechi nne zilizosalia za timu hiyo kufunga mabao matatu na kukamilisha hesabu ya mabao 10,…

Read More

90,000 wameyakimbia makazi yao katika saa 72 zilizopita, linaonya shirika la wakimbizi – Global Issues

Masaa tu mapema, UN Katibu Mkuu Antonio Guterresalionya ya Baraza la Usalama hiyo “Jehanamu inatoweka huko Lebanon” kando ya mstari wa utengano unaosimamiwa na Umoja wa Mataifa, na ubadilishanaji wa moto zaidi katika “upeo, kina na ukali” kuliko hapo awali. Onyo hilo lilikuja wakati Rais wa Marekani Joe Biden aliwaambia viongozi wa dunia waliokusanyika katika…

Read More