Dawa kuzuia maambukizi VVU sasa rasmi

Dar es Salaam. Mamlaka ya Chakula na Dawa ya Marekani (FDA) imeidhinisha sindano ya lenacapavir kwa ajili ya kinga dhidi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), hatua ambayo imepongezwa na Shirika la Afya Duniani (WHO). Hatua ya FDA inafuatia matokeo yaliyoonyesha matumaini katika majaribio mawili ya awali (Purpose 1 na 2) yaliyofanyika mwaka 2024.   Majaribio…

Read More

Ashikiliwa na polisi akidaiwa kuwachoma moto ndugu zake

Morogoro. Jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro linamshikilia Paschal Elias (18) kwa tuhuma za kutaka kuwauwa ndugu zake watatu baada ya kuwamwagia kimiminika kinachodhaniwa kuwa cha mlipuko na kuwasababishia majeraha makubwa ikiwemo yeye mwenyewe. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Mei 20, 2024, Kamanda wa jeshi hilo mkoani Morogoro, Alex Mkama amesema tukio hilo lilitokea Mei…

Read More

Tatizo la afya ya akili na mauaji ya kutisha, mmoja alimtenganisha kichwa na kiwiliwili mama yake

Songea. Mahakama Kuu, imeamuru watu wawili iliyowatia hatiani kwa mauaji, akiwemo aliyemchinja mama yake na kutenganisha kichwa na kiwiliwili, kuwekwa katika taasisi ya watu wenye tatizo la afya ya akili (mental Institution) kama wakosaji wendawazimu. Hukumu hizo za kesi mbili tofauti za jinai, zimetolewa leo Alhamisi Februari 27, 2025 na Jaji Emmanuel Kawishe wa Mahakama…

Read More

Mashambulio ya Drone ya Sudan huongeza hofu kwa usalama wa raia na juhudi za misaada – maswala ya ulimwengu

“Mashambulio haya yanaonekana kuwa ya hivi karibuni katika safu ya shughuli za jeshi la kulipiza kisasiiliyofanywa na vikosi vya msaada wa haraka na vikosi vya jeshi la Sudan, kulenga viwanja vya ndege katika maeneo ya kila mmoja ya udhibiti, “msemaji wa naibu wa UN Farhan Haq aliwaambia waandishi wa habari huko New York Jumatatu. Mapigano…

Read More

NYEPESI NYEPESI ZA DABI: Yanga yaihenyesha Simba kibabe

KWA sasa kuna kelele nyingi kuhusu Yanga kuifunga Simba mara nne mfululizo, lakini kama hujui ni, Simba iliwahi kuhenyeshwa kwa miaka mitano ikicheza mechi 12 mfululizo bila kuonja ushindi wowote mbele ya watani wao. Balaa hilo kwa Simba lilianzia Septemba 5, 1981 hadi ilipokuja kujikomboa Agosti 23, 1986 huku ikiwa imecheza mechi 12 mfululizo ikitoka…

Read More

Benki ya Absa ya endelea kusambaza upendo wa Siku ya Wapendanao kwa wajasiriamali

Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam KATIKA kile kilichoelezwa kuwa ni kujali stori za maisha ya wajasiriamali wadogo wanaojishughulisha na uchuuzi wa maua, Benki ya Absa Tanzania imewatembelea wafanyabiashara hao, kuzungumza nao na kuwapa motisha mbalimbali, ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha Siku ya Wapendanao iliyoadhimishwa duniani kote hivi karibuni. Akizungumza katika hafla hiyo katika eneo…

Read More

Washiriki 1200 watarajiwa kushiriki mbio za barabarani

WASHIRIKI wasiopungua 1200 wanatarajiwa kushiriki mbio za barabarani zitakazofanyika Agosti 31 mwaka huu zitakazoanza kutimua vumbi Police Office Mess Masaki. Akizungumza na waandishi wa habari, Msemaji wa The Runners Club, Godfery Mwangungulu ambao ndio waandaaji wa mbio hizo Alisema ni msimu wa saba sasa wa mbio hizo lakini kwa msimu huu zimekuwa na utofauti. Mwangungulu…

Read More

Chamungu ajitafuta upya Songea United

MSHAMBULIAJI wa Songea United, Andrew Chamungu amesema msimu huu umekuwa ni mgumu kwake kutokana na kutopata nafasi ya kucheza mara kwa mara ndani ya kikosi hicho, ingawa hajakata tamaa na ataendelea kupambana kushawishi benchi la ufundi. Nyota huyo aliyefunga mabao matatu ya Ligi ya Championship hadi sasa, amekuwa akipigwa benchi na washambuliaji, Cyprian Kipenye na…

Read More