
Ibenge awatega mastaa Azam, afichua usajili atakaoufanya
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema atafanya usajili itakapohitajika, lakini anaamini kikosi kilichopo ni bora kutokana na kumaliza nafasi ya tatu na kupata nafasi ya ushiriki michuano ya kimataifa. Ibenge amefunguka hayo muda mchache baada ya kusaini mkataba wa kuitumikia klabu hiyo, huku akiweka wazi anaenda kukaa na wachezaji ili waelewe nini anakitaka…