Makada wa CCM Ileje mtegoni

Songwe. Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Ileje, Mkoani Songwe, kimesema kitawafikisha kwenye vikao vya maadili ya chama hicho makada wanaojipitisha kwa lengo la kutaka nafasi za ubunge na udiwani kabla ya wakati. Makada hao watafikishwa kwenye vikao vya kamati ya maadili kwa utaratibu utakaohusisha upokeaji wa tuhuma dhidi yao wanaokiuka miongozo ya chama hicho,…

Read More

Aviator Kuwasha Moto Meridianbet, Wachezaji Kupewa Simu Mpya

KATIKA mwezi huu wa Septemba, Meridianbet imechochea ari ya ushindani kwa kuzindua kampeni ya kipekee inayowapa wachezaji wake nafasi ya kushinda simu mpya za Samsung A25 kila wiki. Kupitia mchezo wa Aviator, wachezaji sasa si tu wanaburudika, bali pia wanawania zawadi za kifahari kwa kila dau wanaloweka. Kuanzia tarehe 1 hadi 30 Septemba 2025, Meridianbet…

Read More

KIKWETE NA MALALA WAONYA: BAJETI ZA ELIMU ZISIPUUZWE WAKATI WA MISUKOSUKO YA KIUCHUMI NA KISIASA DUNIANI

Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete na mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel, Malala Yousafzai, wameonya juu ya mwenendo hatarishi duniani wa kupunguza au kupuuza bajeti za elimu hasa wakati wa misukosuko ya kiuchumi na kisiasa. Wakizungumza kwenye mjdala kuhusu elimu uliofanyika Jumapoili usiku katika hoteli ya Johari Rotana jijini Dar es Salaam, viongozi hao…

Read More

Rais Mwinyi ahimiza amani kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, amesisitiza umuhimu wa kudumisha amani, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu. Amesema kila mmoja anapaswa kuiombea dua nchi ili mchakato wa uchaguzi mkuu upite kwa amani na mshikamano. Akizungumza leo Jumatatu, Machi 31, 2025, katika Baraza la Idd lililofanyika Polisi Ziwani, Unguja, baada…

Read More

Sillah: Hivi ndivyo Ligi inavyotakiwa

ACHANA na mabao mawili aliyofunga dhidi ya KMC na kumfanya afikishe matano katika Ligi Kuu Bara, mshambuliaji wa Azam FC, Gibril Sillah amesema amefurahishwa na ushindani uliopo tangu kuanza kwa duru la pili, akisema ndivyo ligi inavyotakiwa. Sillah alifunga kila kipindi wakati Azam ikishinda mabao 2-0 kwenye Uwanja wa Azam Complex jijini Dar es Salaam…

Read More

DC Kilakala: Wanaohujumu miundombinu watachukuliwa hatua kali

Morogoro. Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Musa Kilakala amesema mtu yeyote atakayekamatwa akihujumu miundombinu ya reli, barabara, umeme ama maji hatua kali zitachukuliwa dhidi yake. Kilakala ametoa kauli hiyo leo Jumanne, Desemba 17, 2024, kufuatia taarifa za kuongezeka kwa matukio ya wizi wa miundombinu, akisisitiza kuwa Jeshi la Polisi pamoja na vyombo vingine vya ulinzi…

Read More

Kocha Bares macho yote yapo hapa

SIKU chache baada ya ratiba ya ligi kufanyiwa marekebisho, kocha wa Mashujaa, Abdallah Mohamed ‘Bares’ amesema tayari ameanza kukiweka sawa kikosi chake huku akizitaja timu tatu za Azam FC, Yanga na Singida Black Stars kuwa lazima awe nazo makini kutokana na kukutana nazo mapema zikiwa ndiyo washindani wakubwa nafasi tano za juu. Mashujaa ipo nafasi…

Read More

Mwendokasi kuajiri wafanyakazi 1,000 | Mwananchi

Dar es Salaam. Kampuni ya Mofat Company Limited, iliyopewa zabuni ya kuendesha mradi wa mabasi yaendayo haraka awamu ya pili, inatarajia kutoa ajira zaidi ya 1,000. Kampuni hiyo ya Kitanzania imeingia mkataba wa miaka 12 na Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) ili kuendesha mradi huo wa awamu ya pili kuanzia Gerezani hadi Mbagala. Ujenzi…

Read More

JUKWAA LA KIMATAIFA LA UTALII WA VYAKULA KUKUTANISHA WABOBEZI WA UTALII ZAIDI YA 300

………….. Arusha Jukwaa la Pili la Kimataifa la Utalii Wa Vyakula la Shirika la Utalii Duniani (UN Tourism) Kanda ya Afrika lililoanza leo Aprili 22, 2025 jijini Arusha linatarajia kukutanisha washiriki takribani 300 wakijumuisha viongozi waandamizi katika sekta ya utalii na ukarimu, watumishi wa serikali, pamoja na wataalamu wa masuala ya upishi kutoka ndani na…

Read More