WAZIRI MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKA AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA USWISI NCHINI

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud T. Kombo (Mb.) amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Uswisi nchini, Mhe. Nicole Providoli yaliyofanyika katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam tarehe 18 Februari 2025 Madhumuni ya mazungumzo hayo yalikuwa ni Mhe. Providoli kujitambulisha rasmi kwa Mhe. Waziri Kombo…

Read More

Wawili waenda jela maisha kwa kusafirisha mirungi 

Moshi. Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na   Uhujumu Uchumi Kanda ya Moshi, imewahukumu kifungo cha maisha jela, Abdalah Halfan Mkwizu na Samwel Eliud Lyakurya wakazi wa Rombo, baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha kilo 690.767 za dawa za kulevya aina ya mirungi. Mbali na kifungo hicho, Mahakama hiyo imeamuru…

Read More