Mamia wamuaga Sauli, aacha watoto 16

Chunya. Mamia ya wananchi, wakiwamo viongozi wa Serikali na vyama vya siasa, wamejitokeza kuuga mwili wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomon Mwalabila maarufu kwa jina la Sauli (46), aliyefariki dunia kwa ajili ya gari Agosti 4, 2024. Sauli ambaye ameacha wake watatu na watoto 16, alifariki dunia mwishoni mwa wiki iliyopita baada…

Read More

Geita Gold yaaanza na kocha

GEITA Gold imeanza kujipanga kusajili kwa ajili ya Ligi ya Championship, imemsajili kocha Aman Josiah kwa mkataba wa mwaka mmoja, ili kuipandisha timu hiyo msimu ujao. Kocha huyo, msimu ulioisha alikuwa na Biashara United, ambayo ilishindwa kupanda Ligi Kuu Bara baada ya kucheza mtoano na Tabora United iliyowafunga jumla ya mabao 3-0, hivyo ikamaliza nafasi…

Read More

MAJALIWA ASHIRIKI UFUNGUZI WA MKUTANO WA ACTIF 2025, GRENADA

::::: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 28, 2025 ameshiriki katika ufunguzi wa Jukwaa la nne wa Kibiashara na Uwekezaji kati ya Afrika na Karibiani (Afri-Caribbean Trade and Investment Forum – ACTIF 2025) mjini St. George’s, nchini Grenada, Julai 28,2025 ambapo alimwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Mkutano huo unaolenga kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kati…

Read More

Siri ubora wa Guede | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Joseph Guede amezungumzia mambo manne yaliyomrejesha kwenye fomu haraka, huku akiweka wazi mipango yake msimu ujao. Guede aliyetua Jangwani katika dirisha dogo la usajili lililopita, awali alionekana kuwa na mwanzo mgumu katika kikosi cha kocha Miguel Gamondi, lakini kadri muda unasonga ameonekana kubadili upepo kiasi cha kuwazidi kete mastraika Clement Mzize na…

Read More

Korti yaruhusu wanandoa kufanya mazungumzo na DPP

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeruhusu wanandoa wanaokabiliwa na kesi ya kusafirisha gramu 41.49 za dawa za kulevya aina ya heroini kufanya majadiliano na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) ili kuimaliza kesi yao. Wanandoa hao ni Shabani Adamu na mkewe Husna Issa, pamoja na mtoto wao, Mussa Shabani, wote wakazi wa Manzese….

Read More

Mv Kigamboni kufanyiwa ukarabati mkubwa

Dar es Salaam. Hatimaye Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (Temesa) umetangaza kusitisha huduma za uvushaji abiria kwa kutumia kivuko cha Mv Kigamboni kuanzia leo Ijumaa Juni 7, 2024. Hatua hiyo kwa mujibu wa Temesa, inalenga kwenda kukifanyia ukarabati mkubwa kivuko hicho kinachotoa huduma kati ya Kigamboni-Magogoni jijini Dar es Salaam. Uamuzi wa Temesa umefikiwa…

Read More