Kuhusu suala la Mpanzu Simba lipo hivi

HUKO miluzi ni mingi kuhusiana na nyota wa Simba, Elie Mpanzu, ambako mijadala mbalimbali inaendelea wakati huu ambao ishu za usajili katika timu mbalimbali zimetaladadi, ambapo mastaa kibao wanabadili timu huku wapya wakisajiliwa kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano ndani na nje ya nchi. …

Read More

Rekodi za Simba, Yanga Ngao ya Jamii

Mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Simba na Yanga unatarajiwa kuwa na ushindani mkali kutokana na historia na rekodi za timu hizi. Kwa upande wa mashabiki, hii ni fursa ya kuona mchezo wa kuvutia na kila timu itajitahidi kwa nguvu zote kuhakikisha inamzidi mwenzake. Rekodi zinaonyesha, tangu mwaka 2001 zilipoanza kuchezwa mechi za Ngao…

Read More

Enzi mpya ya shida kwa watoto, migogoro ya kimataifa inapozidi na ukosefu wa usawa unazidi kuwa mbaya – Masuala ya Ulimwenguni

Mwanzoni mwa kila mwaka, UNICEF inaonekana mbele kwa hatari ambazo watoto wanaweza kukabiliana nazo na kupendekeza njia za kupunguza madhara yanayoweza kutokea. Ya hivi punde ripoti, Matarajio ya Watoto 2025: Kujenga Mifumo Inayostahimili Maisha Ya Baadaye ya Watotoinadai kuimarishwa kwa mifumo ya kitaifa ambayo imeundwa ili kupunguza athari za migogoro kwa watoto na kuhakikisha wanapata…

Read More

Wabunge watatu wa ajali ya Dodoma wahamishiwa MOI

Dar es Salaam. Wabunge watatu majeruhi wa ajali ya basi la Kampuni ya Shabiby waliokuwa wamelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, wamehamishiwa katika Taasisi ya Mifupa Muhimbili-MOI kwa matibabu zaidi. Desemba 6 mwaka huu, wabunge 16, maofisa wawili wa Bunge na dereva wa basi hilo walijeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Mbande, wilayani…

Read More

Haya hapa matokeo ya ubunge CCM

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) leo kinatarajiwa kutangaza matokeo ya kura za maoni za wagombea ubunge katika majimbo mbalimbali nchini, hatua muhimu kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba. Aliyekuwa Mbunge wa Pangani, Mkoa wa Tanga, Jumaa Aweso ameongoza kwenye kura za maoni kwa kupata asilimia 100 ya kura zote 3,806 zilizopigwa katika kata 14…

Read More

Mpole, Ninja wasaka nafasi za CAF

WATANZANIA wanaochezea soka Ligi Kuu ya DR Congo, mshambuliaji George Mpole (FC Lupopo) na beki Abdallah Shaibu ‘Ninja’ (Lubumbashi Sport), wamezungumzia namna kazi ilivyo ngumu kuelekea kumaliza msimu huu wa 2023/24. Mpole timu yake inaonekana kuwa na nafasi ya kucheza michuano ya CAF kwani ipo nafasi ya tatu, huku TP Mazembe ikiwa inaongoza ligi, lakini…

Read More

Uhaba wa wataalamu Uzi, wajawazito wajifungulia kwenye boti

Unguja. Wanawake wa kisiwa cha Uzi, Mkoa wa Kusini Unguja wameendelea kuiangukia Serikali kuhakikisha kituo cha afya kilichojengwa katika eneo hilo kinapata wataalamu wa afya, ili kuwaondolea mateso ya kujifungulia katika mazingira hatarishi, ikiwamo kwenye boti wakati wakisafirishwa kwenda maeneo mengine kupata huduma hiyo. Licha ya kuwepo kwa kituo hicho cha afya kilichojengwa mwaka 2023…

Read More