MANDONGA KUJA NA NGUMI YA SGR PAMBANO LA NGUMI YA TANGA

Na Oscar Assenga, TANGA. BONDIA wa Ngumi nchini Karim Mandonga ametamba kuonyesha Ngumi ya SGR katika Pambano la Ngumi ya Tanga litakalofanyika Novemba 16 likiwa ni kuhamasisha wananchi kushiriki kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka huu. Mandonga aliyoa tambo hizo wakati wa mkutano na waandishi wa Habari kuelekea pambano hilo ambalo…

Read More

Kamishna Wakulyamba Apongeza Jitihada za Uimarishaji wa Hifadhi za uhifadhi misitu na utalii Wilayani Tanga.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Kamishna Benedict Michael Wakulyamba, amepongeza juhudi za Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika kuimarisha usimamizi wa hifadhi za mikoko na utalii wilayani Tanga. Katika ziara yake hiyo, Kamishna Wakulyamba alitembelea ofisi ya TFS Wilaya ya Tanga na kukutana na Mhifadhi wa Wilaya pamoja na…

Read More

TPA yaahidi kuongeza ufanisi katika bandari zake

  MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa amesema kuwa mamlaka hiyo imejipanga kufanya upanuzi wa bandari zake, ili kuendelea kutoa huduma shindani katika soko la Afrika na kimataifa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja, ambayo imeanza jana…

Read More

Rais Macron akataa Waziri Mkuu wake kujiuzulu

Ufaransa. Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron amekataa ombi la Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Gabriel Attal la kujiuzulu kutokana na matokeo mabaya ya chama chao bungeni. Attal amewasilisha ombi lake la kujiuzuru baada ya matokeo ya duru ya pili ya uchaguzi wa wabunge nchini humo ambapo chama chake ambacho pia ni cha Rais Macron kimeshindwa…

Read More

MO arejea na mambo Sita Simba

Saa chache baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba Salim Mhene ‘Try Again’ kujiuzulu nafasi hiyo, mwekezaji za klabu hiyo Mohammed Dewji ‘MO’ ameibuka na mambo sita huku akitangaza kurejea kwenye nafasi hiyo. Mapema leo jioni, Try Again alitangaza rasmi kujiuzulu nafasi hiyo, kufuatia changamoto zilizoikumba klabu hiyo ikianguka kwa matokeo kwa kushika nafasi…

Read More

WIZARA YA MADINI INATAMBUA MCHANAGO WANAJIOSAYANSI KUFANIKISHA VISION 2030

Na Oscar Assenga,TANGA Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini Ndugu Msafiri Mbibo amesema wizara hiyo inatambua mchango wa wanajiosayansi katika Vision 2030 hivyo itaendelea kuwatuma kikamilifu ili kuwawezesha utekelezaji wa ndana hiyo. Mbibo aliyasema hayo Desemba 4,2024 Jijini Tanga wakati akifungua mkutano wa mwaka wa Wanajiosayansi kwa niaba ya Waziri wa Madini ambapo alisema wanajiosayansi…

Read More