Moallin arudishwa Yanga, vigogo wakimuweka kikao Pedro
UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umetangaza kumrudisha ndani ya benchi la ufundi la timu hiyo, Abdihamid Moallin ili kusaidiana na Pedro Goncalves. Uamuzi huo umefanyika leo Jumatatu Machi 23, 2026 baada ya viongozi wa klabu hiyo wakiongozwa na Rais, Hersi Said kukutana na benchi la ufundi la Yanga chini ya Pedro na kuona kuna ulazima…