
Yakoub akabidhiwa gari baada ya kung’ara CHAN 2024
MLINDA mlango wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Yakoub Suleiman Ally, amekabidhiwa gari aina ya Toyota Crown, ikiwa ni zawadi baada ya kufanya vizuri katika michuano ya CHAN 2024 iliyofanyika kuanzia Agosti 2 hadi 30 mwaka huu katika nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Zawadi hiyo ni ahadi aliyoitoa Mkuu wa Mkoa wa…