TAZAMA MATOKEO YA ΜΤΙHANΙ ΚΙDΑΤΟ CHA NNE 2025
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Nne (CSEE) kwa mwaka 2025 BOFYA KUTAZAMA MATOKEO BOFYA KUTAZAMA MATOKEO
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Nne (CSEE) kwa mwaka 2025 BOFYA KUTAZAMA MATOKEO BOFYA KUTAZAMA MATOKEO
Uganda. Seneta wa Marekani Jim Risch, ambaye pia ni mwenyekiti wa Kamati ya Seneti ya Mahusiano ya Kigeni, amekataa msamaha wa umma uliotolewa na Mkuu wa Majeshi wa Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, akiutaja kuwa usio na maana, huku akitoa wito wa kutaka vikwazo vikali zaidi dhidi ya Uganda. Majibu hayo yametolewa ikiwa ni siku moja…
Zaidi ya kaya 2,000 zenye uhitaji maalum mkoani Manyara zinatarajiwa kunufaika na msaada wa vyakula unaotolewa na Mati Foundation, ikiwa ni sehemu ya mpango wa kampuni ya Mati Super Brands Ltd wa kurejesha sehemu ya faida yake kwa jamii inayozunguka maeneo ya uzalishaji na biashara zake. Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada wa awamu ya kwanza…
Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Musoma, imebatilisha na kufuta hukumu ya kifungo cha 30 aliyokuwa amehukumiwa Adolf Hitler baada ya kukutwa na hatia ya kosa la ubakaji. Hitler maarufu kwa jina la Masiringi alihukumiwa na Mahakama ya Wilaya ya Butiama mwaka 2023, katika kesi ya ubakaji wa msichana aliyekuwa mwanafunzi wa kidato cha tatu…
Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi wa Wasafi Media, Naseeb Abdul maarufu Diamond Platnumz, ameipongeza Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) kwa kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Sheria ya Huduma za Habari, huku akiahidi kuwa vyombo vyake vya habari viko tayari kufuata kikamilifu matakwa yote ya kisheria yanayoongoza sekta ya habari nchini. Diamond…
Last updated Jan 31, 2026 Dar es Salaam, Januari 31, 2026 — Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne uliofanyika mwaka 2025 kote nchini. Akizungumza katika ofisi za baraza hilo jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa NECTA, Profesa Said A. Mohamed, amesema…
-Yasaini Mikataba 23 siku 100 za Rais Samia Madarakani. Dar es Salaam Meneja wa TARURA Mkoa wa Rukwa Mhandisi Chacha Mwita Moseti ameelezea mafanikio waliyoyapata katika ujenzi wa miundombinu ya barabara mkoani humo katika kipindi cha miaka minne iliyopita. Hayo ameyasema katika Mkutano wa Mwaka wa Barabara uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Maktaba ya…
…….. Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania, Prof. Said A. Mohamed, ametangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Kidato cha Nne (CSEE) 2025 leo tarehe 31 Januari, 2026 jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa matokeo hayo, jumla ya watahiniwa 526,620 kati ya 595,810 waliopata matokeo wamefaulu mtihani huo, hatua inayodhihirisha…
-Amuelekeza Mkandarasi akamilishe jengo kwa wakati Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali linaloendelea kujengwa kwenye mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma. Ujenzi wa jengo hilo umefikia kiwango cha asilimia 73 na umegharimu jumla ya shilingi bilioni 16 na ili liweze kukamilika…
BOFYA KUTAZAMA MATOKEO BOFYA KUTAZAMA MATOKEO