MGOMBEA UBUNGE CHATO KUSINI ACHANA MISTARI BONGO FREVA AKIOMBA KURA

Mgombea Ubunge Jimbo la Chato kusini,Paschal Lutandula, akichana mistari ya bongo dreva. ………… CHATO ZIKIWA zimesalia siku tano kufanyika Uchaguzi mkuu wa Rais,Wabunge na Madiwani nchini, mgombea Ubunge wa Jimbo la Chato kusini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Paschal Lutandula, amelazimika kuchana mistari ya muziki wa kizazi jipya. Hatua hiyo ililenga kuomba kura kwa wananchi…

Read More

Mafyatu kumkaribisha Rais kuzindua kijiwe

Baada ya kuona kuwa inawezekana kumfyatua, sorry, kumchengua rahis hadi anazindua mangomangoma ya Hamnazoo, mafyatu tunakula mkakati kumkaribisha kuzindua kijiwe chetu cha ndumuu. Naona yule anatikisa kichwa kuwa rahis na vijiwe vya bangii, sorry, nimesema bangili wapi na wapi? Hamkumuona arap Rooter wa kwa njirani akijinoma na mchekeshaji kwa Joji Kichaka akiwatosa wake. Ama kweli…

Read More

Vijana wataka mambo manne wakiadhimisha siku yao

Dar es Salaam. Wakati dunia ikijiandaa kuadhimisha siku ya amani Septemba 21, 2025, nchini Tanzania vijana wameeleza nafasi yao katika kudumisha amani, huku mambo manne yakijadiliwa katika kongamano la maadhimisho hayo. Septemba 21 ya kila mwaka dunia huadhimisha siku ya amani, hapa nchini maadhimisho hayo yameanza leo Septemba 18, 2025 kwa vijana kutoka maeneo mbalimbali…

Read More

Serukamba afunga vibanda vya wafanyabiashara wasiolipa kodi Mafinga

Mufindi. Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Peter Serukamba ameagiza kufungwa kwa baadhi ya vibanda katika Soko Kuu la Mafinga lililopo katika halmashauri ya mji wa Mafinga, baada ya wafanyabiashara kushindwa kulipa kodi. Tayari baadhi ya vibanda hivyo vimezungushiwa utepe, ikiwa ishara ya kutoruhusu wafanyabiashara ambao hawajalipa kodi ya halmashauri kuendelea na shughuli zao hadi watakapolipa…

Read More

RC Mbeya aingilia kati sakata la Mdude, viongozi wa kimila…

Mbeya. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Dk Juma Homera amesema tayari amelielekeza Jeshi la Polisi kuongeza jitihada za kuwatafuta wahusika waliomshambulia kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mdude Nyagali, huku akiahidi Sh5 milioni kwa atakayesaidia kumpata kada huyo alipo akiwa hai au amekufa. Hata hivyo, amesema pamoja na yeye kutojua tukio hilo, kwakuwa limetokea…

Read More

Watu 12 mbaroni vurugu za wafugaji, wakulima Kilosa

 Morogoro. Wakazi 12 wa Kijiji cha Malangali, Kata ya Tindiga wilayani Kilosa, Mkoa wa Morogoro, wanashikiliwa polisi na wengine wanane wanaendelea kusakwa wakidaiwa kuhusika na vurugu za wafugaji na wakulima. Hata hivyo, Mkuu wa Oparesheni Maalumu za Jeshi la Polisi, Naibu Kamishina wa Polisi (DCP), Mihayo Msikhela amesema jeshi hilo halitamvumilia yeyote atakaye vunja sheria….

Read More