Rais Assad wa Syria, familia wapewa hifadhi Russia

Moscow. Rais wa Syria, Bashar Al-Assad, aliyepinduliwa jana Jumapili Desemba 8, 2024 pamoja na familia yake wamewasili nchini Russia walipopewa hifadhi. Mashirika ya habari ya Russia yameripoti yakinukuu chanzo cha Ikulu ya Kremlin: “Rais Assad wa Syria amewasili Moscow. Russia imewapa (yeye na familia yake) hifadhi kwa misingi ya kibinadamu.” Assad amepinduliwa baada ya waasi…

Read More

HAKUNA KAZI MUHIMU DHIDI YA USALAMA – KAMANDA SENGA.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Augustino Senga amesisitiza ushirikiano katika suala usalama hasa kwa wakazi wa maeneo ya mgodini. Hayo amezungumza Mei 07, 2025 alipotembelea mgodi wa dhahabu wa ANGLO DE BEERS (T) LIMITED uliopo Kijiji cha Patamela Mkoani Songwe kwa lengo la kutathimini hali ya usalama na…

Read More

RAIS SAMIA AMEWAJENGEA HESHIMA WANAWAKE KATIKA MAENDELEO NA KUSISITIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI

Na Mwamvua Mwinyi,Kibaha JUMUIYA ya Wanawake (UWT)Kibaha Mjini, Mkoani Pwani, imetoa wito kwa wanawake kuunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan katika kuleta maendeleo na kuboresha huduma za kijamii, huku ikisifu juhudi zake za kuleta mapinduzi kwenye sekta za usafirishaji, uwekezaji, nishati safi na uwezeshaji kwa wanawake. Mbaraza kutoka UWT Mkoani Pwani, Mariam Ulega…

Read More

TRA YAZINDUA MFUMO WA TANCIS ULIOBORESHWA NA TOVUTI MPYA

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua Tovuti mpya na mfumo wa TANCIS ulioboreshwa utakaosaidia kurahisisha uondoshaji wa shehena Bandarini, katika Viwanja vya Ndege pamoja na mipakani. Akizindua mfumo huo leo Januari 20, 2025 Jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa Bodi ya TRA Mussa Uledi amesema mfumo wa TANCIS utapunguza kuonana kwa watu baina ya TRA…

Read More

Hitaji la Haraka la Utambulisho wa Kisheria – Masuala ya Ulimwenguni

IOM inakadiria kuwa watu bilioni moja wanaishi bila utambulisho wa kisheria, hivyo kuwazuia kupata huduma muhimu na kuwazuia uhamaji. Mkopo: Shutterstock na Baher Kamal (madrid) Ijumaa, Desemba 20, 2024 Inter Press Service MADRID, Desemba 20 (IPS) – Pengine wanademografia wangefikiria kubuni mfumo mpya wa uainishaji ili kujitenga na makadirio yao ya jumla ya watu duniani—bilioni…

Read More