
Rais Assad wa Syria, familia wapewa hifadhi Russia
Moscow. Rais wa Syria, Bashar Al-Assad, aliyepinduliwa jana Jumapili Desemba 8, 2024 pamoja na familia yake wamewasili nchini Russia walipopewa hifadhi. Mashirika ya habari ya Russia yameripoti yakinukuu chanzo cha Ikulu ya Kremlin: “Rais Assad wa Syria amewasili Moscow. Russia imewapa (yeye na familia yake) hifadhi kwa misingi ya kibinadamu.” Assad amepinduliwa baada ya waasi…