
Vigogo Chadema Mwanza, wengine 167 watimkia CCM
Mwanza. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kujiimarisha kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, baada ya kupokea wanachama wapya 170 kutoka vyama vya upinzani. Wanachama hao wapya wamepokea leo Ijumaa Mei 2, 2025 wakati wa mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Katibu wa NEC ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla uliofanyika Viwanja vya Furahisha jijini…