Vigogo Chadema Mwanza, wengine 167 watimkia CCM

Mwanza. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kujiimarisha kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, baada ya kupokea wanachama wapya 170 kutoka vyama vya upinzani. Wanachama hao wapya wamepokea leo Ijumaa Mei 2, 2025 wakati wa mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Katibu wa NEC ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla uliofanyika Viwanja vya Furahisha jijini…

Read More

ATOA ELFU TANO KWA RAIS SAMIA

Na Munir Shemweta, MLELE Mkazi wa kijiji cha Luchima katika kata ya Majimoto halmashauri ya Mpimbwe wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi Bw. Aseni Jandikile ametoa shilingi elfu tano kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt Samia Suluhu Hassan kutokana na juhudi zake za kuwaletea maendeleo wananchi. Kiasi hicho cha pesa kimekabidhiwa…

Read More

Profesa Shivji, wasomi wataja kinachokwaza maendeleo Afrika

Dar es Salaam. Mwanazuoni mkongwe, Profesa Issa Shivji, amesema miongoni mwa sababu zinazokwamisha maendeleo ya haraka katika mataifa ya Afrika ni kuminywa kwa uhuru wa mijadala ya wanataaluma. Amesema kuminywa kwa mijadala ya wanazuoni kunazikosesha nchi uelewa wa wapi zinakosea, fikra mbadala na suluhu ya matatizo yake, ndiyo maana zinakosea kwa kujirudia. Mkwamo wa mijadala…

Read More

Ufunguzi wa kongamano la siku(2) la kitaifa la mtandao wa wanawake katiba uongozi na uchaguzi

Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP katika mchakato kuhimiza  usawa wa kijinsia Tanzania imekutana na wanawake pamoja na wanamtandao katika kongamano la kitaifa la mtandao wa wanawake katiba uongozi na uchaguzi Kujadili masuala mbalimbali wakati ambapo hivi sasa nchi yetu inaelekea katika uchaguzi wa serikali za mitaa ambapo hali ya ushiriki wa wanawake katika nafasi za…

Read More

Kijiji chapata maji safi na salama kwa mara ya kwanza tangu Uhuru

Adha ya upatikanaji wa maji safi na salama, iliyokuwa ikiwakabili wananchi wa Kijiji cha Mherule, kata ya Mwanya Tarafa ya Mang’ula wilayani Kilombero mkoani Morogoro, imebaki historia baada ya serikali kutekeleza mradi wa maji safi na salama ya kunywa kijijini hapo. Anaripoti Victor Makinda, Morogoro…(endelea). Wakizungumza na MwanaHALISI Online wananchi wa kijiji hicho wamesema ujio…

Read More