RAIS MWINYI AWASILI JIJINI DODOMA

………….. Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi ameondoka Zanzibar na kuwasili jijini Dodoma kushiriki katika vikao vya kikatiba vya Chama Cha Mapinduzi ngazi ya Taifa. Katika uwanja wa ndege wa Dodoma,  Rais Dkt.Mwinyi amepokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Rosemary Senyamule na Viongozi…

Read More

Nishati safi yapunguza gharama Shule ya Nyamunga 

Mara.Shule ya Sekondari Nyamunga wilayani Rorya, Mkoa wa Mara imefanikiwa kupunguza gharama za matumizi ya nishati ya kupikia kwa asilimia 38 kila mwezi, kutoka Sh1.6 milioni hadi Sh1 milioni baada ya kuanza kutumia nishati safi ya kupikia. Mafanikio hayo yametajwa kuwa kielelezo cha namna jamii na taasisi zinavyoweza kupunguza gharama na kulinda mazingira iwapo zitaacha…

Read More

Kwa hili; kongole msajili wa vyama vya siasa

Agosti 18, 2025, Jaji Mutungi alifungua mafunzo kwa viongozi wa kitaifa wa vyama vya siasa jijini Dar es Salaam yaliyofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere. Mafunzo hayo yaliwaleta pamoja viongozi na wadau wa siasa kujadili kwa kina Sheria ya Gharama za Uchaguzi. Lengo lilikuwa kuongeza uelewa wa namna sheria hiyo inavyotekelezwa ili…

Read More

Chaumma kijielekeze kuikabili CCM uchaguzi mkuu 2025

Mtiania wa urais wa Tanzania, kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu, anazunguka kutafuta wadhamini. Anatumia jina la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kujinadi. Salum, ambaye alikuwa Naibu Katibu Mkuu Chadema, Zanzibar, jukwaa kwa jukwaa, chama chake cha zamani hakikauki mdomoni. Ajabu, Chadema hawashiriki Uchaguzi Mkuu 2025, hivyo si washindani…

Read More

Maema aiwahi Simba Misri | Mwanaspoti

KIUNGO mpya wa Simba, Neo Maema ataungana na kikosi cha timu hiyo kambini jijini Cairo nchini Misri leo tayari kuanza maandalizi ya msimu mpya. Maema alikuwa miongoni mwa wachezaji waliokuwa na kikosi cha timu ya taifa ya Afrika Kusini ‘Bafana Bafana’ kilichokuwa kinashiriki Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN)…

Read More