Kichanga chatupwa kichakani, chaokolewa na mpita njia

Tabora. Mtoto mchanga anayekadiriwa kuwa na saa chache baada ya kuzaliwa, ametupwa kichakani eneo ya Ipilili, Kata ya Nzega Magharibi, Wilaya ya Nzega mkoani Tabora, akiwa amefungwa kwenye kiroba. Akizungumza kwa njia ya simu na Mwananchi leo Februari 27, 2026, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amethitibisha kutokea kwa tukio hilo, akisema wanaendelea…

Read More

DKT. PHILIP MPANGO, BALOZI MULAMULA NA VIONGOZI WENGINE WA TANZANIA WASHIRIKI MKUTANO WA UNGA NEW YORK, USA.

:::::::::: Viongozi mbalimbali wa Tanzania wakiongozwa na Makamu wa Rais, Dkt. Phillip Mpango wameshiriki mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) New York. Pia, Mtanzania Balozi Liberata Mulamula ambaye ni Mjumbe Maalum Umoja wa Afrika, kuhusu Agenda ya Wanawake, Amani na Usalama, ameshiriki mkutano huo. Viongozi wengine walioshirki huo ni Waziri wa Mambo…

Read More

Haya ndio madhara ya kukacha mikutano ya shule

Dar es Salaam. Wazazi waliobahatika kuuanza mwaka 2026 wakiwa na watoto katika hatua mbalimbali za masomo, mnapaswa kutambua kuwa huu ni mwaka wa mabadiliko chanya katika ushiriki wenu, hususan katika masuala yanayohusu elimu ya watoto wenu. Ni mwaka unaopaswa kuwa wa kujitathmini na kubadili mtazamo kuhusu wajibu wa mzazi katika safari ya elimu ya mtoto….

Read More

Halmashauri Kibondo yatoa neno video ya muuguzi kuondolewa wodini kwa nguvu

Kigoma. Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo umefafanua kuhsu video iliyosambaa mitandaoni ikimuonesha muuguzi wa hospitali ya wilaya hiyo akitolewa kwa nguvu na mlinzi wa Suma JKT ndani ya wodi ya wajawazito, hali iliyosababisha sintofahamu miongoni mwa wananchi na wagonjwa waliokuwa wodini. Video hiyo, iliyoanza kusambaa usiku wa kuamkia Agosti 31, 2025, ilimuonesha mhudumu…

Read More

Chelsea Yapokea Kipigo Kingine cha Aibu Dhidi ya Everton

Global Publishers March 21, 2026 0 Comments Mshambuliaji Beto ameibuka shujaa wa Everton FC baada ya kufunga mabao mawili muhimu yaliyoisaidia timu yake kuibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Chelsea FC katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la Hill Dickinson. Everton walionyesha ubora wao tangu dakika za mwanzo za mchezo huo, huku Beto…

Read More

Viboko shuleni bado pasua kichwa, WHO yaonya

Ripoti ya Shirika la Afya Duniani (WHO) imebaini kuwa adhabu ya viboko imesambaa kwa kiwango cha kutisha, ikiwakosesha usalama na haki takribani watoto 1.2 bilioni duniani kote.  Ripoti hiyo inaonesha kuwa watoto wanakumbana na adhabu ya viboko nyumbani,  huku hali ikiwa mbaya zaidi shuleni ambapo kwa nchi za Afrika takribani asilimia 70 wanafunzi wanapewa adhabu…

Read More