Shauri waumini Kanisa la Gwajima lawekewa pingamizi

Dar es Salaam. Wajibu maombi katika shauri lililofunguliwa na waumini wa Kanisa la Glory of Christ Tanzania linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, wameweka pingamizi juu ya shauri hilo la kikatiba lililofunguliwa katika Mahakama Kuu, Masjala Kuu, Dodoma. Shauri hilo la maombi mchanganyiko namba 16408 limefunguliwa na Dinali Mbaga na wenzake 51 dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa…

Read More

Kapombe, Mpanzu wateka utambulisho Simba Day

UTAMBULISHO wa kikosi cha Simba SC kwa msimu wa 2025-2026, umeteka hisia za mashabiki wa timu hiyo waliofika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam huku mastaa wawili Shomari Kapombe na Elie Mpanzu wakiibua shangwe lililopitiliza. Zoezi hilo la utambulisho lililoanza saa 12:21 jioni, liliongozwa na Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally…

Read More

TBS YAPOKEA CHETI CHA UMAHIRI KUTOKA SADCAS

SERIKALI imedhamiria kujenga misingi shindani na endelevu yenye ubora wa utoaji wa huduma wenye kuwezesha biashara nchini kwa kuzingatia jiografia na rasilimali watu kwa kupitia sera mikakati na mipango shindani na shirikishi. Ameyasema hayo jana Desemba 6, 2024 Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdalah wakati wa hafla fupi ya kupokea Cheti cha…

Read More

Serikali yaombwa kusaidia familia iliyoachwa yatima

Mufindi. Baada ya vifo vya wazazi vilivyotokana na ugomvi uliohusisha wivu wa kimapenzi, familia imeiomba Serikali iwasaidie ili watoto 11 walioachwa yatima, baadhi wakiwa bado wanasoma waondokane na hali ngumu ya maisha inayowakabili. Mama wa watoto hao, Elizabeth Kihombo (46), mkazi wa Kijiji cha Ihefu, wilayani Mufindi, mkoani Iringa, aliyetuhumiwa  kumuua mume wake, Philimon Lalika…

Read More

JKT Queens mzigoni tena | Mwanaspoti

MABINGWA wa Ligi Kuu ya Wanawake, JKT Queens leo wanashuka tena uwanjani kusaka tiketi ya kwenda nusu fainali ya michuano ya Klabu Bingwa kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) watakapowakabili Yei Joint Stars kutoka Sudan Kusini. Mechi hiyo itapigwa kwenye Uwanja wa Ulinzi Complex uliopo jijini Nairobi, Kenya ikiwa ni mechi ya mwisho…

Read More

Matawi CRDB kufungwa kwa muda ili kuboresha huduma

Dar es Salaam. Benki ya CRDB imetangaza kufunga huduma katika matawi yake yote kwa siku tatu kuanzia Septemba 5 hadi 7 mwaka huu. Kufungwa kwa matawi hayo kunalenga kutoa nafasi kwa wataalamu kufanya maboresho na kuweka mifumo ya kisasa ili kuongeza ufanisi huduma zinazotolewa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na benki hiyo kwa umma, ndani…

Read More

Kabila hili bila ‘kukonyeza’ hujapata mke au mume

Unajua Kabila la Waberber au Amazighs wana mila ya harusi ya ajabu, vijana wa kike na kiume hukusanywa pamoja na kucheza muziki usiku huku wakikonyezana kwa ridhaa ya wazazi wao? Ni tamasha linalokutanisha takribani watu 30,000 la kijana kupata mke na binti kupata mume. Ni mwendo wa kutaniana, kuchumbiana na kuoana, lugha ya mawasiliano kwenye…

Read More