Lisu asema hana ubavu kuwania ubunge, Kingu atia neno

Singida. Wakati harakati za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 zikiendelea maeneo mbalimbali nchini, mmoja wa makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Hamis Lisu wa Wilaya ha Ikungi mkoani Singida amesema hana nia tena ya kuwania ubunge wa Singida Magharibi. Lisu ambaye mwaka 2020 alikuwa miongoni mwa makada wa chama hicho waliojitosa kwenye kura za maoni,…

Read More

Namungo, Fountain Gate wapigwa kalenda

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza kuahirisha mchezo wa ligi baina ya Namungo FC na Fountain Gate FC uliokuwa uchezwe leo katika Uwanja wa Majaliwa Lindi. Taarifa iliyotolewa na TPLB leo, imesema kuwa tarehe mpya ya kuchezwa mechi hiyo itapangwa. “Mchezo kati ya @namungofc na @fountaingate_fc umeahirishwa na utapangiwa tarehe nyingine,” iliandika TPLB katika…

Read More

Wawili mbaroni kwa mauaji ya bodaboda

  JESHI la Polisi mkoa wa Katavi limewakamata watuhumiwa wawili wa mauaji ya dereva bodaboda ambaye anadaiwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali ubavu wa kushoto na mwili wake kutelekezwa barabarani kisha watuhumiwa kutokomea na pikipiki yake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Katavi … (endelea). Taarifa iliyotolewa leo Ijumaa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, SACP-…

Read More

RC achekelea Yanga, Singida BS kutimua makocha

MKUU wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha amesema amefurahishwa na kiwango kinachoonyeshwa na timu ya Tabora United  kwenye Ligi kuu Bara ambapo imezifunga Yanga mabao 3-1 na kutoka sare ya 2-2 na Singida Big Stars ambzo zote  zimefukuza makocha. Akizungumza na Mwanaspoti, leo Novemba 29,2024,  Chacha amesema Tabora United itaendelea kuwa bora kwani inapata mahitaji yote…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Camara kipa acha Simba itambe

SIKU ile ambayo Simba ilifungwa bao 1-0 na Yanga kwenye Ligi Kuu, kipa Moussa Camara alilaumiwa sana kaifungisha kisa mpira aliotema uliunganishwa na Mudathir Yahya na kuipa bao pekee la ushindi vijana wa Jangwani. Hata hivyo, kijiweni hapa wengi walikataa dhana Camara aliifungisha Simba kwa vile ukitazama vizuri ule mpira wa faulo ya Chama (Clatous)…

Read More

Besigye kuendelea kushikiliwa mahabusu Mahakama ikiahirisha kesi

Kampala. Kiongozi wa upinzani anayeugua nchini Uganda, Dk Kizza Besigye, msaidizi wake Obeid Lutale na mmoja wa mawakili wao watasalia kizuizini hadi baadaye mwezi huu wakati Mahakama Kuu ya Kampala itakapotoa uamuzi wake katika kesi ya kutaka watuhumiwa hao wafikishwe mahakamani, iliyowasilishwa na mawakili wao. Baada ya kusikiliza mawasilisho, hakimu wa Mahakama Kuu, Douglas Karekona…

Read More

Ibenge asaka mrithi wa Fei Toto

WAKATI tetesi za kiungo wa Azam, Feisal Salum ‘Fei Toto’ zikizidi kuwa nyingi kwamba huenda akajiunga na Simba au Yanga, kocha mpya wa kikosi hicho Florent Ibenge amejiandaa kwa lolote. Ibenge ambaye ametua Azam akitokea Al-Hilal ya Sudan ndiye atakayekiongoza kikosi hicho msimu ujao akirithi mikoba kutoka kwa Rachid Taoussi. Taarifa kutoka ndani ya Azam…

Read More