Wabunge CCM wamuangukia Makalla wakidai barabara

Morogoro. Wabunge wa Ulanga na Malinyi wamesema licha ya kazi kubwa iliyofanywa na Serikali ya kupeleka maendeleo katika wilaya hizo,  bado wanakabiliwa na changamoto ya barabara wakimuomba Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla kuisukuma ajenda hiyo ili kuboresha miundombinu hiyo. Hata hivyo, wameishukuru Serikali kwa kutenga fedha kwa ajili ya ujenzi…

Read More

Sugu athibitisha kugombea ubunge Oktoba

Mbeya. Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amesema licha ya kutokuwa sehemu ya maamuzi ya kugawa jimbo hilo, lakini ni miongoni mwa wanaosubiri mchakato huo kukamilika, huku akikanusha taarifa za kuwa hatagombea. Pia, amesisitiza kuwa anachosubiri ni uamuzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC)  kuligawa jimbo hilo linaloongozwa na Spika…

Read More

MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI

Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji wa mawasiliano katika maeneo yote yaliyokuwa yamekatika. Mvua kubwa zilizoambata na Kimbunga Hidaya ziliharibu miundombinu ya barabara hiyo katika eneo la Mikereng’ende, Songas, Somanga na Matandu-Nangurukuru ambayo yalikatika kutokana na mvua zilizonyesha na kuambatana na Kimbunga Hidaya. Juzi tarehe 9…

Read More

MCL, ATOGS, TZLPGA kuandaa kongamano la ‘Energy Connect 2024’

Dar es Salaam. Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Jumuiya ya Watoa Huduma za Mafuta na Gesi Tanzania (ATOGS) na Chama cha Waagizaji na Wasambazaji wa Gesi za Mitungi Tanzania (TZLPGA), wametia saini Mkataba wa Makubaliano kuandaa Kongamanano la Nishati Safi liitwalo ‘Energy Connect 2024.’ Kongamano hilo lenye kaulimbiu: “Ushirikiano wa kibunifu katika nishati safi…

Read More

Kocha Algeria awastua Fei Toto, Mzize

KOCHA wa Algeria, Madjid Bougherra, ametuma ujumbe mzito kwa wachezaji wa ndani akiwemo nyota wa Taifa Stars, Feisal Salum Fei Toto na Clement Mzize, akisisitiza kuwa vipaji vya Afrika ndiyo uti wa mgongo wa soka la Ulaya na kinachohitajika ni kujiamini na kufanya kazi kwa bidii ili kufikia mafanikio makubwa. Bougherra, aliyewahi kuwa beki tegemeo…

Read More

ZEEA na mipango ya kutengeneza mabilionea Zanzibar

Tukisherehekea miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA), ukiwa na miaka miwili tangu kuanzishwa kwake, umefanya mambo makubwa ya kupigiwa mfano kuwatoa wajasiriamali sehemu moja kwenda nyingine. ZEEA ni taasisi ya Serikali ambayo ilianzishwa kwa mujibu wa sheria mwaka 2022, ikiwa na lengo la kuwawezesha wananchi kiuchumi kupitia…

Read More