WAZIRI CHANA ATETA NA UJUMBE WA BENKI YA DUNIA

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe kutoka Benki ya Dunia ukiongozwa na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia, Bw. Nathan Belete katika Ofisi za Wizara ya Maliasili na Utalii, jijini Dodoma leo Septemba 5, 2024. Ujumbe huo umekuja kumpatia mrejesho wa ushirikiano uliopo kati…

Read More

Waliokuwa watumishi Kigamboni wapandishwa kizimbani

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Fedha na Mhasibu wa Manispaa ya Kigamboni, Jonathan Manguli (38) na wenzake 12, wakiwamo wafanyabiashara wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka 10, yakiwamo ya kuchepusha fedha na kuisababishia Wizara ya Tamisemi hasara ya Sh165 milioni. Washtakiwa wengine waliokuwa watumishi wa manispaa hiyo ni mhasibu Godfrey Martiny (44), mkuu…

Read More

WATU SABA MIAKA 30 JELA NA WENGINE KIFUNGO CHA MAISHA KWA MAKOSA YA KUBAKA NA KULAWITI MKOANI PWANI – MWANAHARAKATI MZALENDO

    KATIKA kipindi cha Julai hadi agost 2024 watuhumiwa saba katika mkoa wa Pwani, wamehukumiwa miaka 30 jela na wengine kufungwa maisha kwa makosa ya kulawiti, kubaka na kuzini . Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Pwani, Pius Lutumo alieleza, wale wote wanaojihusisha na vitendo hivyo watakamatwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria. Alitaja kati…

Read More

Madina yupo tayari kwa vita Zambia

NYOTA wa timu ya taifa ya Gofu ya Wanawake ya Tanzania kutoka Arusha, Madina Idd amekuwa ni Mtanzania wa pili kuthibitisha ushiriki wa mashindano ya wazi ya ubingwa wa gofu yanayotarajiwa kupigwa mwisho wa mwezi huu kwenye viwanja vya Lusaka, Zambia. Madina amethibitisha jana kutoka klabu ya Gymkhana ya Arusha kuwa atakuwa miongoni mwa Watanzania…

Read More

Azimio la Baraza la Usalama la Libya, ahueni ya kimbunga nchini Msumbiji, virusi vya Marburg nchini Tanzania, sheria za kukabiliana na ugaidi nchini Türkiye – Masuala ya Ulimwenguni

Azimio hilo lililoidhinishwa na Uingereza lilipitishwa kwa kura 14 na hakuna iliyopinga – mjumbe wa kudumu wa Baraza Urusi ilijizuia. Inatanguliza masharti mapya kuhusu vikwazo vya silaha na hatua za kuzuia mali zilizowekwa mwaka 2011 kufuatia kupinduliwa kwa mtawala wa muda mrefu Muammar Gaddafi. Pia inaweka kigezo kipya cha kuorodhesha kinacholenga watu binafsi na taasisi…

Read More

JKT yafufua boti iliyoharibika miaka 20 iliyopita

Kigoma. Baada ya kusimama kufanya kazi kwa miaka 20 kutokana na uchakavu, Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limefufua boti ya MV Bulombora ambayo mbali ya shughuli za uvuvi, kusafirisha watu, itatumika katika shughuli za ulinzi kwenye Ziwa Tanganyika. Boti hiyo inayofanya kazi chini ya Kikosi cha JKT 821 cha Bulombora ina uwezo wa kubeba abiria…

Read More

Mgunda alia na straika wake

LICHA ya uwepo wa mshambuliaji mkongwe, Meddie Kagere, Kocha wa Namungo FC, Juma Mgunda ameweka wazi mipango yake ya kusajili mshambuliaji mpya dirisha dogo la usajili linalotarajiwa kufunguliwa Desemba 15 na kufungwa Januari 15. Mgunda amesema hatua hiyo inalenga kuimarisha safu yao ya ushambuliaji ambayo, kwa sasa, inakosa makali ya kutumia nafasi nyingi wanazozitengeneza.  Akizungumza…

Read More

Arusha yalenga kuwa kivutio kikuu cha michezo Afcon 2027

Arusha inajiandaa kujipanga kuwa kitovu cha michezo na utalii kwa kuwaleta pamoja wawekezaji na mashabiki wa kimataifa kabla ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2027. Maandalizi ya mashindano hayo hayana kasi tu, bali pia yanatoa fursa ya kudumu kwa Arusha kuendeleza sekta ya michezo ambayo ni hatua muhimu katika kuanzisha jiji hilo kuwa kitovu…

Read More