DK SAMIA AACHA TABASAMU KWA WANANCHI NYASA … AHIDI MTAMBO KUKAUSHA SAMAKI MBAMBABAY

Na Said Mwishehe,Michuzi TV- Ruvuma MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewapongeza  wananchi wa Mkoa wa Ruvuma kwa uzalishaji mzuri wa mazao ya biashara na chakula  Ametoa pongezi hizo leo Septemba 21,2025 alipokuwa katika mkutano wa kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu akiwa Uwanja wa Mbambabay wilayani Nyasa mkoani Ruvuma ambapo ameeleza hatua…

Read More

RAIS SAMIA APONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI KILIMANJARO

Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Ummy Nderiananga ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha nyingi za maendeleo katika Mkoa wa Kilimanjaro. Pia amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Bwa. Nurdin Babu kwa utendaji…

Read More

BALOZI NCHIMBI ATOA SOMO UVCCM

-Awataka kushindana kwa hoja, akiwakabidhi jukumu zito Serikali za Mitaa -Asema “CCM itawashinda kwa namna ambavyo hawajawahi kushindwa” Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ametoa wito kwa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) pamoja na jumuiya nyingine za chama hicho kuendelea kushindana kwa hoja na kuwa mfano bora wanapojadili…

Read More

Wanachama 160 kutoka Mwanza kushuhudia Simba Day

MAKAMU Mwenyekiti wa Matawi ya Simba Mkoa wa Mwanza, Juma Kayugwa amesema mashabiki na wanachama 54 wamewasili Dar es Salaam kwa ajili ya kushuhudia Tamasha la Simba Day litakalofanyika leo, Jumatano kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Akizungumza na Mwanaspoti, Kayugwa alisema wanatarajia kuwa na zaidi ya wanachama 160 kutoka Mwanza. “Tumeambatana na baadhi ya viongozi…

Read More