Mpasuko Chadema, G55 waliamsha | Mwananchi

Dar es Salaam. Kile kinachoonekana kuwa mpasuko ndani ya Chadema kimeendelea kukita kambi, huku muungano wa watia nia wa ubunge wanaounda umoja wa G55 ndani ya chama hicho, ukionya hatari ya makada kukimbilia vyama vingine kutafuta jukwaa la kugombea. Sambamba na hilo, umebainisha vitisho vinavyowakabili kutokana na msimamo wao, ukidai watatu kati yao wameandikiwa barua…

Read More

Kipenye, Mkomola wapagawisha Songea Utd

SONGEA United imeendelea kujifua kujiweka fiti, huku baadhi ya mastaa wakitoa matumaini kwa mashabiki kuhakikisha Mkoa wa Ruvuma unarejesha heshima kwa kupata timu ya Ligi Kuu. Timu hiyo ambayo ilifahamika kama FGA Talents, kwa sasa imeweka maskani mjini Songea na inatarajiwa kushiriki Ligi ya Championship msimu ujao itakayoanza mwishoni mwa mwezi huu kusaka kutinga Ligi…

Read More

RAIS DKT. SAMIA ANAGUSWA NA KUJALI MAISHA YA WAFANYAKAZI

*Amenyanyua kikokotoo, Ndejembi asema huo ni mwanzo tu Nukuu za Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Deogratius Ndejembi- Bungeni “Bajeti Kuu ya Serikali ya Mwaka wa fedha 2024/2025 ambayo tunaenda kuipitisha inaonyesha ni namna gani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu…

Read More

UNS inahimiza diplomasia mpya juu ya mpango wa nyuklia wa Iran, inamsikika Tehran-tel Aviv kusitisha moto kama ‘mafanikio makubwa’-maswala ya ulimwengu

Wakati wa utulivu huu, Umoja wa Mataifa umeboresha wito wake wa suluhisho la kidiplomasia kwa suala la nyuklia la Iran, na kuonya kwamba malengo ya Pamoja kamili ya mpango wa hatua (JCPOA) – na azimio ambalo liliidhinisha – linabaki kuwa halina maana. Kushughulikia iliyopangwa Baraza la Usalama Mkutano wa Jumanne kujaribu na kufufua mpango huo…

Read More

Askofu Malasusa akemea mauaji, utekaji kuelekea uchaguzi mkuu

Mwanza. Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex Malasusa amekemea matukio ya mauaji na utekaji nchini, akitaka Serikali ifuatilie na kuwaweka wazi wahusika, ili wawajibishwe kisheria. Ametoa kauli hiyo jana Julai 26, 2024 katika mkutano mkuu maalumu wa uchaguzi wa KKKT Dayosisi ya Mashariki ya Ziwa Victoria uliofanyika jijini Mwanza. Askofu…

Read More

Makamba ataja maeneo ya kuboresha mambo ya nje

  WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba ametumia takribani saa moja kuelezea maeneo ambayo yatajajadiliwa katika warsha ya Mabalozi wanaowakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali duniani inayofanyika katika Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Julius Nyerere mjini Kibaha kuanzia tarehe 21 hadi 24 Aprili 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…

Read More