MAJALIWA: SUALA LA MAZINGIRA LIWE AJENDA YA KITAIFA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofunga Mkutano Maalum wa Viongozi , Wataalamu na Wadau wa Mazingira kuhusu Mwelekeo wa Mazingira Nchini,  kwenye  Kituo cha Mikutano cha  Jakaya Kikwete jijini Dodoma, Septemba  10, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) ……… WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema suala la uhifadhi wa mazingira liwe ajenda ya Kitaifa…

Read More

Bosi wa usalama Israel afutwa kazi, Hamas watajwa

Tel Aviv. Baraza la Mawaziri la Israel limeidhinisha kufukuzwa kazi kwa Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (Shin Bet) huku maandamano yakiibuka upya kupinga uamuzi huo wa serikali. Ronen Bar ambaye ameiongoza Shin Bet tangu 2021, atatakiwa kukabidhi ofisi Aprili 10, 2025 ama kabla ikitegemea wakati gani mrithi wake atakapokuwa ameteuliwa. Al Jazeera imeripoti…

Read More

Odinga amkingia kifua Rais Ruto

Kenya. Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga amewajibu wakosoaji wa Serikali ya Rais William Ruto wanaotaka aondoke madarakani huku akisema wanataka atoke aende wapi. Kauli ya Odinga inakuja zikiwa zimepita  siku chache tangu asaini makubaliano ya kufanya kazi na Rais Ruto nchini Kenya. Makubaliano hayo kati ya Chama cha United Democratic Alliance (UDA)…

Read More

Mziki wa Samatta wamkuna kocha PAOK

KOCHA wa PAOK, Razvan Lucescu, ameonyesha kuridhishwa na kiwango cha sasa cha mshambuliaji wake na nahodha wa Taifa Stars,  Mbwana Samatta ambaye amefunga mabao manne na kutoa asisti moja katika michezo mitatu iliyopita na mashindano yote ikiwemo Europa League. Samatta aliyeanza kuonyesha makali kuanzia Februari 8 katika mchezo wa Ligi Kuu Ugiriki ‘Super League’ dhidi…

Read More

ANZA WIKI YAKO NA UTAJIRI NDANI YA MERIDIANBET

WIKI mpya imeanza ndani ya Meridianbet kwani leo hii unaweza ukajipigia mkwanja wako wa maana ukiweka dau lako dogo tuu. Timu kibao zipo uwanjani leo. Ingia na ubashiri sasa. EPL leo hii Aston Villa atakuwa pale nyumbani Villa Park kukiwasha dhidi ya Brighton ambao wametoka kutoa sare mechi yao iliyopita. Unai Emery na vijana wake…

Read More

Apps and Girls na Yas Tanzania Waadhimisha Mahafali ya Wahitimu wa Jovia 2025

 Apps and Girls kwa kushirikiana na Yas Tanzania wameadhimisha mahafali ya kundi lingine la wahitimu wa programu ya Jovia, mpango unaolenga kuwawezesha wasichana kupitia teknolojia na ujasiriamali. Tangu kuanzishwa kwake mwaka 2019, Jovia imekuwa jukwaa muhimu kwa wasichana kupata ujuzi wa kidigitali, maarifa ya biashara, na ushauri, hatua inayochangia kupunguza pengo la kijinsia katika nyanja…

Read More

12 watoa ushahidi kesi ya ‘waliotumwa na afande’

Dodoma. Kesi ya jinai ya kubaka kwa kikundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam inaendelea leo Jumatano Septemba 4, 2024. Tayari mashahidi 12 wa upande wa Jamhuri wameshatoa ushahidi katika kesi hiyo inayosikilizwa faragha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma. Akizungumza na waandishi wa habari jana Septemba…

Read More