TBS WAENDELEA KUWANOA WAJASIRIAMALI MAONESHO YA 19 YA KIMATAIFA YA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI MWANZA

Na Mwandishi Wetu Mwanza WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, amelitaka Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kuendeleza jitihada za kuhakikisha wajasiriamali nchini wanafikia malengo yao. Waziri Dkt. Jafo alitoa kauli hiyo kwenye Maonesho ya 19 Kimataifa ya Biashara ya Afrika Mashariki yaliyofanyika kwenye Viwaja vya Furahisha, jijini Mwanza ambayo yalianza Septemba 6, mwaka…

Read More

Vijana 181 wenye ulemavu wa akili wanufaika ufundi stadi

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Vijana 181 wenye ulemavu wa akili kutoka Manispaa ya Morogoro na Halmashauri ya Mji Mdogo Ifakara wamepatiwa mafunzo ya ufundi stadi kuwawezesha kuondokana na utegemezi na kujikwamua kiuchumi. Mafunzo hayo yametolewa kwa ushirikiano wa Shirika lisilokuwa la kiserikali linaloshughulikia maendeleo ya wanawake na vijana (Mwayodeo) la mkoani Morogoro na Taasisi…

Read More

Wanafunzi wa kike sekondari wajengewa uwezo afya ya kidigitali

  WAKATI matumizi ya Teknlojia yakipamba moto nchini serikali kwa kushirikiana na Chuo Kikuu kishiriki cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas) imeanza mkakati wa kuwajengea uwezo wanafunzi wa kike kutoka shule za sekondari katika utafiti , ubunifu na maendeleo katika teknolojia ya Afya kidigitali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Wanawake husani…

Read More

Samia apokea Sh1.12 trilioni za gawio, atoa mbinu kwa mashirika

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ameyataka mashirika na taasisi za Serikali kutoa gawio kulingana na fedha zilizokusanywa na matakwa ya sheria, badala ya kujikamua ilimradi zionekane zimechangia. Vilevile, ameeleza umuhimu wa taasisi hizo kutoa gawio, akisema ndiyo msingi wa nchi kuendesha mambo yake bila kutegemea mikopo, suala ambalo litalifanya nchi ijenge heshima duniani….

Read More