Kwa hili; kongole msajili wa vyama vya siasa

Agosti 18, 2025, Jaji Mutungi alifungua mafunzo kwa viongozi wa kitaifa wa vyama vya siasa jijini Dar es Salaam yaliyofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere. Mafunzo hayo yaliwaleta pamoja viongozi na wadau wa siasa kujadili kwa kina Sheria ya Gharama za Uchaguzi. Lengo lilikuwa kuongeza uelewa wa namna sheria hiyo inavyotekelezwa ili…

Read More

Chaumma kijielekeze kuikabili CCM uchaguzi mkuu 2025

Mtiania wa urais wa Tanzania, kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu, anazunguka kutafuta wadhamini. Anatumia jina la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kujinadi. Salum, ambaye alikuwa Naibu Katibu Mkuu Chadema, Zanzibar, jukwaa kwa jukwaa, chama chake cha zamani hakikauki mdomoni. Ajabu, Chadema hawashiriki Uchaguzi Mkuu 2025, hivyo si washindani…

Read More

Maema aiwahi Simba Misri | Mwanaspoti

KIUNGO mpya wa Simba, Neo Maema ataungana na kikosi cha timu hiyo kambini jijini Cairo nchini Misri leo tayari kuanza maandalizi ya msimu mpya. Maema alikuwa miongoni mwa wachezaji waliokuwa na kikosi cha timu ya taifa ya Afrika Kusini ‘Bafana Bafana’ kilichokuwa kinashiriki Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN)…

Read More

Mkenya aipa ushindi Stars kwa Morocco

KOCHA Msaidizi wa Singida Black Stars, Mkenya David Ouma ameipa nafasi kubwa Taifa Stars kushinda dhidi ya Morocco katika robo fainali ya michuano ya CHAN. Taifa Stars imetinga hatua hiyo kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa mashindano hayo 2009, baada ya mara mbili zilizopita 2009 na 2020 kushindwa kuvuka hatua ya makundi. Safari hii…

Read More

Aucho kimeeleweka Singida Black Stars

SINGIDA Black Stars imekamilisha usajili wa aliyekuwa kiungo wa Yanga, Khalid Aucho ikimpa mkataba wa miaka miwili. Mwanaspoti lilisharipoti uwepo wa mazungumzo ya Singida Black Stars kumnasa kiungo huyo raia wa Uganda na sasa ni rasmi amemwaga wino huku muda wowote kuanzia sasa atatambulishwa rasmi tayari kwa maandalizi ya msimu wa 2025/26. Chanzo cha kuaminika…

Read More

Saba waifumua Simba, Ahoua, Kibu wawekewa mtego

MZIKI wa Simba unaosukwa huko Misri, umeibua jambo jipya kutokana na nyota saba kuonekana kufumua kikosi cha kwanza ambacho awali kilikuwa kinampa jeuri Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Fadlu ambaye anaingia msimu wa pili kuinoa Simba, alikuwa na wakati mzuri 2024-2025 kwani licha ya kutotwaa taji lolote, lakini kuna mabadiliko makubwa yametokea hasa kwenye ushindani katika…

Read More