Tshabalala achukua namba ya mtu

KIKOSI cha Yanga kinaendelea kujifua kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa mashindano, huku ikielezwa nahodha wa zamani wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ aliyetua klabuni hapo kwa kishindo amempora mtu namba mapema. Tshabalala ni kati ya wachezaji watano wa Yanga waliokuwa katika timu ya taifa iliyokuwa ikishiriki Fainali za CHAN 2024 ambao walipewa mapumziko…

Read More

Marcio: Mambo yameiva KMC | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa KMC, Marcio Maximo amesema kikosi chake kiko fiti kwa asilimia kubwa na kinachoendelea ni kutengeneza mbinu zitakazokipa matokeo mazuri mapema mwezi ujao ligi itakapoanza. KMC imerejea kwenye uwanja wa nyumbani baada ya kuweka kambi ya wiki mbili  Zanzibar huku kocha huyo akidai kuwa maandalizi kwa ujumla yanakwenda vizuri na anaridhishwa na uwezo…

Read More

Adaiwa kumuua mwanaye kwa jembe wakizozania chakula

Dar es Salaam. Baba mwenye umri wa miaka 63 (jina lake halijapatikana) mkazi wa Kijiji cha Sakwa Kusini kilichopo Kaunti ndogo ya Awendo nchini Kenya anadaiwa kumuua mwanaye wakati wakizozania chakula kisha kutokomea. Tukio hilo limeripotiwa usiku wa Jumanne Agosti 26, 2025 baada ya marehemu mwenye umri wa miaka 28 kuripotiwa kwenda nyumbani kwa baba…

Read More

TPA TANGA YAELEZA NAMNA INAVYOHUDUMIA SHEHENA ZA MAGARI ZINAZOPITA KWENYE BANDARI HIYO

Na Oscar Assenga,TANGA MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)  Bandari ya Tanga  imesema kwamba wanatumia umakini mkubwa na ufanisi katika kuhudumia shehena  mbalimbali zinazopita kwenye Bandari hiyo ikiwemo ya magari ambayo imekuwa ikiongezeka kila mara Hayo yalisemwa na Kaimu Meneja wa Bandari ya Tanga  Bw. Peter Millanzi alipokuwa akitoa ufafanuzi juu ya taarifa zilizosambaa…

Read More

UN inataka hatua za kuamua kumaliza migogoro wakati Gaza na Benki ya Magharibi inasumbua – maswala ya ulimwengu

“Leo ulimwengu unaonekana kwa kutisha kwani hali katika eneo lililochukuliwa la Palestina linaendelea kuzorota Viwango ambavyo havionekani katika historia ya hivi karibuni“Alisema Ramiz Alakbarov, Mratibu Maalum wa UN kwa mchakato wa amani wa Mashariki ya Kati, akizungumza kutoka Yerusalemu. Alianza kwa kuzingatia Gaza, ambayo “inazama zaidi ndani ya msiba, iliyowekwa alama na majeruhi wa raia,…

Read More

Chadema katika makubaliano usikilizwaji kesi ya rasilimali leo mahakamani

Dar es Salaam. Kesi ya mgogoro wa mgawanyo wa rasilimali ndani ya  Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo Alhamisi, Agosti 28, 2025 inatajwa mahakamani kwa ajili ya maelekezo maalumu kuhusiana na usikilizwaji. Katika hatua hiyo pande zote zinatarajiwa kuandaa hoja zinazobishaniwa, kutokana na madai yaliyoainishwa kwenye kesi hiyo, ambazo zitaiongoza Mahakama kufikia uamuzi, kulingana…

Read More