Serikali inatekeleza mradi wa ujenzi wa minara 758 utakaonufaisha wananchi Milioni 23.6 :Waziri Nape

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye (MB) amesema Serikali inatekeleza Mradi wa ujenzi wa Minara 758 unaogharimu zaidi ya Bilioni 200 utakaonufaisha wananchi Milioni 23.6 kupata huduma bora za Mawasiliano ya intaneti, data na simu. Nape amebainisha hayo alipokua Wilayani Sengerema akiendelea na ziara ya kukagua Mnara wa mawasiliano katika Kisiwa…

Read More

Kigamboni waanza kuunganishwa huduma ya maji

Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam DAWASA Mhandisi Mkama Bwire amesema kuwa Mamlaka imeanza utekelezaji wa agizo la Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso la kufanya maunganisho ya majisafi kwa wananchi wa maeneo ya Kigamboni kwa kutoa vifaa vya maunganisho ya majisafi. Amesema hayo wakati wa…

Read More

Heinken yanunua kampuni za Distell na Namibia Breweries

Na Mwandishi wetu, Mtanzania Digital Kampuni ya Heinken imetangaza kununua kampuni ya Distell Group Holdings(‘Distell’) na ile ya Namibia Breweries (NBL) ambapo ununuzi huo unafikia zaidi ya Euro Bilioni 1 katika mapato halisi. Pia, ununuzi huo umefikia Euro milioni 150 katika faida ya uendeshaji wa nyayo zao za Afrika ambapo utachangia kwa kiasi kikubwa ukuaji…

Read More

Kukamatwa kwa Mwanamke kwa tuhuma za Mauaji Arusha.

Na Mwandishi Jeshi la Polisi Arusha. Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema linamshikilia Jaina Mchomvu kwa tukio la mauaji ya mtoto aitwaye Mariam Juma mwenye umri wa miaka 12 mkazi wa kwa Mrombo katika Halmashauri ya jiji la Arusha aliyekutwa ameauwa huku mwili wake ukiwa na majeraha ya kukatwa na kitu chenye ncha kali…

Read More

Serikali za Dunia, Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Yatangaza Uwekezaji wa $350m katika Huduma za Afya ya Ujinsia na Uzazi – Masuala ya Ulimwenguni

Dk. Natalia Kanem, Mkurugenzi Mtendaji wa UNFPA. Credit: UNFPA na Naureen Hossain (umoja wa mataifa) Alhamisi, Septemba 26, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Septemba 26 (IPS) – Baada ya Mkutano wa Kilele wa Mustakabali na kando ya Wiki ya Mikutano ya Ngazi ya Juu ya Umoja wa Mataifa, serikali na mashirika ya hisani…

Read More

Dkt. Samia Aahidi Ujenzi wa Bandari Mpya ya Bagamoyo – Video – Global Publishers

Last updated Sep 29, 2025 Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi miradi mikubwa ya maendeleo ikiwa ni sehemu ya vipaumbele vya serikali atakayoongoza endapo atachaguliwa katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika Jumapili, Septemba 28, 2025,…

Read More

Straika Majimaji ageukia udiwani | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa zamani Majimaji, Stand United, Alliance na Singida United, Six Mwasekaga amegeukia siasa akijitosa kuwania udiwani kupitia chama cha ACT Wazalendo katika Kata ya Mbugani, wilayani Kyela, mkoa wa Mbeya. Mwasekaga aliliambia Mwanaspoti kwa sasa hachezi mpira wa ushindani na ameona ana nafasi ya kufanya kitu katika jamii kupitia siasa. “Kitu kikubwa kilichonishawishi ni…

Read More