RWEBANGIRA- MKAFANYE KAZI KWA WELEDI

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe.Magdalena K.Rwebangira leo tarehe 29 Aprili, 2025 ametembelea mafunzo ya watendaji wa Vituo (Waendesha vifaa vya Bayometriki na waandishi wasaidizi ngazi ya Kituo) katika Manispaa ya Sumbawanga kuona namna mafunzo hayo yanavyofanyika. Mhe.Rwebangira amewataka watendaji hao kuzingatia mafunzo, ili wakatekeleze majukumu waliyoaaminiwa na Tume kwa umakini na…

Read More

DIRA ya Taifa 2050 ni maoni ya nchi siku za usoni-Dk. Biteko

*Amezindua Ripoti ya Maendeleo ya Watu Tanzania, 2022 *Wizara, Taasisi, Mashirika na wadau watakiwa kutoa maoni *Makongamano ya kikanda kuendelea Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Imeelezwa kuwa, Dira ya Taifa ya Maendeleo ni picha na maono kuhusu mustakabali tarajiwa wa maendeleo ya nchi kwa siku za usoni. Hayo yamebainishwa leo Julai 20, 2024 na Naibu…

Read More

Serikali yatoa sababu kusitishwa kozi tisa UDOM

Dodoma. Siku chache baada ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kutangaza kusitisha udahili kwa kozi tisa za shahada ya kwanza kwenye elimu ya ualimu kwa mwaka 2025/26, Serikali imesema lengo ni kuongeza umahiri wa walimu wanaozalishwa kwenye chuo hicho. Programu zilizositishwa ni Shahada ya Elimu ya Ualimu katika Sayansi na Tehama, saikolojia, sayansi, biashara, sanaa,…

Read More

MAN CITY WASHUSHA KIFAA KIPYA – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Manchester City imethibitisha kumsajili winga wa Kibrazil, Savinho kwa ada ya pauni milioni 21 itakayofikia milioni 33.6 pamoja na nyongeza akitokea Troyes ya Ufaransa. Savinho (20) ambaye msimu uliopita alikuwa kwa mkopo Girona ya Uhispania amesaini mkataba wa miaka mitano mpaka Juni 2029 na anakuwa usajili wa kwanza wa Man City majira haya ya…

Read More

Mbinu za kulinda mtaji wa biashara

Mtaji ni kitu cha thamani sana kwa biashara yoyote. Ni msingi ambao biashara husimama na kukua, hivyo kulindwa kwake ni jambo la lazima. Mtaji unaweza kupatikana kwa njia mbalimbali, ikiwa ni pamoja na mkopo. Hata hivyo, mtaji unaweza kupungua au kupoteza. Ikiwa umekopa na mtaji ukapotea, unaweza kupoteza dhamana na imani ya kukopesheka tena, hali…

Read More

Waziri Lukuvi, atoa mitungi ya gesi kwa vijana

  Waziri Lukuvi, atoa mitungi ya gesi kwa vijana Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera Bunge na Uratibu) Mhe. William Lukuvi (Mb) Isimani ameendelea kuunga mkono kampeni ya kutumia nishati safi ya kupikia kwa kutoa majiko ya gesi kwa timu mbalimbali zinazoshiriki ligi ya kata ya mpira wa miguu katika jimbo la Isimani….

Read More

KONA YA WASTAAFU: Mstaafu anapotamani kuwa mbunge!

Hatimaye Bunge, lililo moja ya mihimili minne ya Taifa likiwa na wabunge wanaopaswa kuwawakilisha wananchi, akiwemo huyu mstaafu, limemaliza awamu yake ya miaka mitano, na kama kanuni zilivyo, kuchapa lapa na kurudi majimboni kuomba tena ‘kula’ nyingine! Tumeona wabunge karibu 390 waliokuwa wakipata Sh14 milioni kwa kila mmoja wao kama mshahara wa mwezi, marupurupu na…

Read More