Dk Mpango: Afrika iimarishe umoja kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi

Unguja. Nchi za Afrika zimesisitizwa kuimarisha umoja ili kusukuma mbele ajenda ya pamoja katika kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya tabianchi. Pamoja na kuimarisha uwezo wa kutafuta rasilimali za ndani, pia zimetakiwa kuacha kutegemea ufadhili kutoka mataifa makubwa, huku zikiendelea kuathiriwa na athari za mabadiliko hayo. Hayo yameelezwa leo Jumatatu Aprili 28, 2025 katika mkutano…

Read More

JKU yapiga mtu 9-0 Ligi Kuu Zanzibar

WATETEZI wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), JKU juzi walitoa dozi ya maana baada ya kifumua Mwenge kwa mabao 9-0 na katika mechi ya upande mmoja ya ligi hiyo, huku nyota wa timu hiyo Mudrik Abdi Shehe akiweka rekodi msimu huu kwa kufunga mabao matano pekee yake. JKU ilipata ushindi huo kwenye Uwanja wa Gombani, kisiwani…

Read More

USAID Majisafi Washirikiana na Wizara ya Maji na Kuwekeza Zaidi ya Bilioni 50 katika Maji – MWANAHARAKATI MZALENDO

Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma Waziri amelipongeza Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) kupitia mradi wa USAID Maji safi ambao unatekeleza miradi ya maji hapa nchini kwa kushirikiana na Sekta ya Maji hivyo kusaidia kufikia malengo ya Serikali katika huduma ya maji. Amesema hayo akifungua mkutano wa tathmini ya mwaka ya…

Read More

Sh2.2 bilioni kupunguza maumivu ukosefu wa ajira, Dar

Dar es Salaam. Wakati vilio vya kukosekana kwa ajira vikiendelea miongoni mwa vijana, benki ya Standard Chartered imepanga kutumia zaidi ya Sh2.2 bilioni katika utekelezaji wa programu ya uwezeshaji vijana kiuchumi ili kupunguza kukabili hiyo. Fedha hizo zitatumika katika kusaidia vijana kupata ujuzi ikiwa ni maandalizi ya kupata ajira na kusaidia usimamizi wa biashara ndogo…

Read More

Mkutano wa AFPPD Unashughulikia Mabadiliko ya Tabianchi na Usawa wa Jinsia – Masuala ya Ulimwenguni

Katibu Mkuu wa AFPPD, Dk. Jetn Sirathranont, akihutubia katika mkutano wenye kaulimbiu ya Uwezeshaji wa Jinsia kwa Uchumi wa Kijani huko Islamabad, Pakistan. Mkopo: AFPPD na Annam Lodhi (Islamabad) Alhamisi, Agosti 15, 2024 Inter Press Service ISLAMABAD, Agosti 15 (IPS) – Ukusanyaji thabiti wa takwimu, sera jumuishi, na msukumo wa kasi kuelekea uchumi wa kijani…

Read More

Misingi mitano  ya upendo imara kwenye ndoa 

Dar es Salaam.Unataka kuwa na ndoa imara na unayoweza kudumu ndanimwe kwa miaka nenda rudi? Safu hii leo inakuangazia baadhi ya mambo unayoweza kufanya ili kujenga ndoa imara maishani mwako.  Mosi, heshima. Upendo hustawi katika nyumba yenye heshima. Mtoto hushikamana na wazazi wake akitumaini kwamba watatimiza mahitaji yake, lakini uamuzi wa kupenda daima unaanzia na…

Read More