Usafi waendelea Soko la Mashine lililoungua, Chadema watoa pole

‎Iringa. Soko la Mashine Tatu lililopo Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, limeanza kufanyiwa usafi baada ya kuungua Julai 12,2025  huku Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Iringa, Frank Nyalusi akitembelea waathirika. Nyalusi ametembelea eneo hilo na kutoa pole kwa waathirika na wakazi wa jirani walioguswa na athari za moto huo. ‎Nyalusi…

Read More

Waarabu wa Mzize, waibomoa RS Berkane

ILE klabu inayomtaka mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize haitanii inakusanya mastaa hasa na sasa imepepelea kilio RS Berkane, ikiondoka na nahodha wa timu hiyo. Umm Salal ya Qatar imemng’oa nahodha huyo wa Berkane, Issoufou Dayo aliyekuwa staa mkubwa wa mabingwa hao wa Morocco. Dayo (34) anayecheza beki wa kati, ndiye aliyeiongoza Berkane kuchukua ubingwa wa…

Read More

IDADI YA WATALII YAPAA MAPANGO YA AMBONI YAFIKIA 19,000

Na Oscar Assenga,TANGA IDADI ya Watalii wa Ndani na Nje ya Nchi imezidi kuongezaka katika Mapango ya Kihistoria ya Amboni Jijini Tanga katika kipindi cha kutoka Watalii 8000 mpaka zaidi 19000. Takwimu hizo ni katika mwaka wa Fedha 2024/2025 hatua hiyo imewezesha Kupata mapato ua zaidi ya Milioni 40 hali inayowezesha Kuwa Mapango yaliyo na…

Read More

Wawili kizimbani kwa kumiliki mijusi 226

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv WAFANYABIASHARA wawili wakazi wa jijini Dar es Salaam wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi mbili za uhujumu uchumi kwa kukutwa na nyara za serikali ambazo ni Mijusi 226 Imedaiwa kati ya hao Mijusi 13 ni wakubwa na Mijusi aina Coud Grecko 213 walio hai. Katika hati…

Read More

Billioni 38 kunufaisha wakulima nyanda za juu Kusini

Wafadhili kutoka Canada Wametoa bilioni 38 kwajili ya kusaidia shughuli za kilimo Nchini ili kuhumimili Athari za mabadiliko ya tabia ya Nchi. Fedha hizo zimetolewa na Canada kupitia shirika la Care International Tanzania na mradi wake utakuwa wa miaka 6 katika wilaya za Iringa , Kilolo , Mufindi, Wangi’ombe pamoja na Mbarali . Akizungumza baada…

Read More

Mkuchika akumbushia bao la Aziz KI CAF

MWENYEKITI wa Baraza la Wadhamini wa Klabu ya Yanga, George Mkuchika amesema kama timu hiyo isingenyimwa bao la nyota wa kikosi hicho, Stephane Aziz KI wakati wa mechi yao ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns wangefika mbali zaidi. Mkuchika amezungumza hayo leo wakati wa Mkutano Mkuu wa Klabu hiyo…

Read More