Mwili wa Sauli wapokelewa Mbeya, kuzikwa kesho

Mbeya. Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya mabasi ya Sauli, Solomon Mwalabila unatarajiwa kuzikwa kesho katika Kijiji cha Godima wilayani Chunya Mkoa wa Mbeya. Mwili wa Mwalabila aliyefariki dunia Agosti 4, 2024 kwa ajali ya gari mkoani Pwani, umesafirishwa leo kwa ndege ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) ukitokea Kibaha mkoani Pwani ulikokuwa umehifadhiwa…

Read More

Dk Mpango kuhutubia COP-29 nchini Azerbaijan

Dar es Salaam. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango anatarajia kuondoka nchini leo Novemba 8, 2024 kuelekea Baku nchini Azerbaijan, kumwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan, katika Mkutano wa 29 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (COP-29). Taarifa iliyotumwa kwa vyombo vya habari…

Read More

NMB Yatoa Gawio la Tsh Bilioni 57.4 kwa Serikali

Benki ya NMB imetoa gawio la Tsh. Bilioni 57.4 kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo ni kiashiria cha azma ya kuleta tija na faida kubwa kwa wawekezaji wao wote, ikiwemo Serikali yenye umiliki wa 31.8% katika Benki yetu. Kwa mwaka huu, hili ni Gawio kubwa zaidi kutolewa kwa Serikali ya Jamhuri ya…

Read More

Sugu ambwaga Msigwa uenyekiti Chadema Kanda ya Nyasa

Njombe. Aliyekuwa Mbunge wa Mbeya Mjini,  Joseph Mbilinyi, maarufu Sugu ameibuka mshindi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Nyasa akimbwaga mpinzani wake Mchungaji Peter Msigwa. Sugu amemshinda Msigwa ambaye alikuwa anatetea nafasi yake kwa kura 54 kwa 52 na sasa kada huyo ataiongoza kanda hiyo kwa miaka mitano…

Read More

Baleke aibukia Rayon Sports | Mwanaspoti

STRAIKA wa zamani wa TP Mazembe, Simba na Yanga, Jean Baleke ametua Rayon Sports ya Rwanda kwa kupewa mwaka mmoja wa kuitumikia klabu hiyo iliyomaliza nafasi ya pili katika Ligi Kuu ya Rwanda msimu uliopita ikizidiwa pointi nne na mabingwa mara sita mfululizo, APR. Nyota huyo raia wa DR Congo kwa muda wa miezi sita…

Read More

Mke, watoto wasimulia dakika za mwisho mkurugenzi Tanesco

Dar/Bunda. Kashemeile Stanslaus, mke wa aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Boniface Gissima Nyamo-Hanga, ameelezea namna alivyoagana na mumewe kabla ya kukutwa na mauti. Nyamo-Hanga pamoja na dereva wake, Muhajiri Haule walifariki dunia usiku wa kuamkia Jumapili, Aprili 13, 2025 baada ya kupata ajali ya gari katika eneo la Nyatwali, wilayani Bunda…

Read More