BODI YA WADHAMINI YA SHIRIKA LA HIFADHI ZA TAIFA TANZANIA WACHOTA UJUZI UTALII WA KIHISTORIA – ZANZIBAR

Na Philipo Hassan – Zanzibar Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) ikiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi, Jenerali (Mstaafu) George Waitara, jana Desemba 18, 2024 walitembelea maeneo mbalimbali ya utalii Visiwani Zanzibar kwa lengo la kujifunza utalii wa visiwa, kihistoria na malikale. Ziara hiyo yenye lengo la kujifunza masuala ya utalii…

Read More

NMB yaahidi neema wadau sekta ya kilimo

KATIKA kuhakikisha wadau wa sekta ya kilimo wananufaika na kuchangia Pato la Taifa, Benki ya NMB imeahidi kuendelea kutoa elimu, mikopo ya riba nafuu na bima za sekta za uzalishaji kwa mkulima mmoja mmoja, vikundi vya wakulima, wafugaji, wavuvi na vyama vya ushirika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma… (endelea). Ahadi hiyo imetolewa leo Jumamosi na Mkuu…

Read More

Chama cha Malema chamcharukia Musk, chaitaja Starlink

Dar es Salaam. Zikiwa zimepita saa chache tangu Mmiliki wa mtandao wa X na Mkurugenzi wa Idara ya Ufanisi wa Serikali ya Marekani, Elon Musk amuite kiongozi wa chama cha EFF cha Afrika kusini, Julius Malema kuwa mhalifu wa kimataifa, chama hicho kimemjibu. Chanzo cha Musk kumuita jina hilo Malema ni mabishano yaliyoendelea katika mtandao…

Read More

RAIS SAMIA AMEING’ARISHA CHAMWINO KIMAENDELEO – DKT. BITEKO

-Serikali imewekeza zaidi ya bilioni 13 elimu ya Sekondari Chamwino-Uboreshaji wa miundombinu shilingi bilioni 17.9 zimetumika-Vijiji vyote 47 Chamwino vimewashwa umeme-Asema Sekta ya Nishati ipo salama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya kazi kubwa ya kuing’arisha Chamwino kwa kutatua changamoto mbalimbali za wananchi wa Jimbo hilo. Hayo yamebainishwa…

Read More

DAS Kinondoni atoa somo ukatili kwa watoto

Dar es Salaam. Wazazi na walezi wanaowapeleka watoto shule za bweni wakiwa bado wadogo wameshauriwa kuwafuatilia kwa karibu katika makuzi yao wakiwa shuleni na wakati wa likizo. Hatua hiyo ni kuwaepusha na wimbi la vitendo vya ukatili wa kijinsia katika ulimwengu wa sasa wa sayansi na teknolojia. Hayo yamesemwa mwishoni mwa wiki na Katibu Tawala…

Read More

SERIKALI INATAFITI MIKARATUSI KUHARIBU MAZINGIRA

Serikali kupitia Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI) inaendelea na utafiti wa kina wa miti aina ya mikaratusi kuhusu athari zake kimazingira na kuja na taarifa ya kitaalamu pamoja na ushauri. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis ameriarifu Bunge wakati akijibu swali la Mbunge wa Hai…

Read More

Rais Iran afariki kwa ajali ya helkopta

Rais wa Iran, Ebrahim Raisi, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo na maofisa wengine wa serikali wamepatikana wakiwa wamefariki katika eneo la ajali ya helikopta baada ya msako wa saa kadhaa katika eneo lenye ukungu la milima kaskazini magharibi mwa nchi hiyo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa …(endelea). Vyombo vya habari vya serikali havikutoa…

Read More