Miti ilivyozalisha majina ya maeneo maarufu

Dar es Salaam. Miti ina faida chekwa. Kama ulidhani miti inatupatia kivuli, matunda na hata dawa pekee, utakuwa umekosea sana. Miti ni zaidi ya hayo. Tanzania ina utamaduni wa kipekee hasa katika utoaji wa majina ya maeneo. Utamaduni huu ni wa kutumia majina ya miti kuwakilisha maeneo. Ndio maana unaposikia maneno kama Mnazi Mmoja, Mkwajuni,…

Read More

Kimbunga Hidaya chakata mawasiliano mikoa ya Kusini- Dar

Lindi. Zaidi ya madaraja manne wilayani Kilwa, mkoani Lindi katika barabara iendayo Dar es Salaam yamesombwa na maji, hivyo kukata mawasiliano kwenye mikoa ya kusini. Hali hiyo inatokana na madhara ya kimbunga Hidaya kilichosababisha mvua kubwa katika mikoa ya Lindi na Mtwara. Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mohamed Nyundo amesema takwimu za juzi Mei 3,…

Read More

KUCHEZA POOL TABLE MASAA YA KAZI NI KOSA KISHERIA.

Vijana wa Kijiji cha Ndolezi Kata ya Mlangali Tarafa ya Iyula Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe wametakiwa kuacha tabia ya kucheza mchezo wa pool table nyakati za asubuhi wakati muda huo wanapaswa kufanya shughuli rasmi za kujiingizia kipato kwa maendelo yao na taifa kwa ujumla. Kauli hiyo imetolewa Januari 14, 2025 na Polisi Kata ya…

Read More

Simba yabanwa, Yanga yakaa kileleni

Sare ya bao 1-1 imeifanya Simba kushindwa kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kufikisha pointi 44, moja nyuma ya vinara Yanga yenye 45. Simba imepata sare hiyo dhidi ya Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Manyara. Kipindi cha kwanza cha mchezo huo kilikuwa…

Read More

Wakulima wa parachichi Njombe sasa kucheka

Njombe. Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka amesema ujenzi wa kiwanda cha kuchakata parachichi mkoani mwake,  ni mkombozi mkubwa kwa wakulima kwani tofauti na ilivyokuwa awali mkulima alikuwa anauza kwa bei ndogo kutokana na hofu ya tunda kuharibika lakini sasa atakuwa na maamuzi ya bei. Akizungumza katika ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa kiwanda…

Read More

Hamdi anavyotembelea nyayo za Ramovic Yanga

USHINDI wa Yanga wa mabao 5-0, ilioupata juzi dhidi ya Mashujaa, umemfanya kocha wa timu hiyo, Miloud Hamdi kutembelea nyayo za mtangulizi wake, Sead Ramovic aliyeondoka na kutimkia CR Belouizdad ya Algeria, kutokana na rekodi zao za sasa. Hamdi alijiunga na Yanga Februari 4, mwaka huu kuchukua nafasi ya Ramovic na tangu ajiunge na kikosi…

Read More

Maandamano ya wanafunzi wa Bangladesh, mashambulizi ya Sudan Kusini yanaendelea, fursa inagonga kwa hatua ya hali ya hewa barani Afrika – Masuala ya Ulimwenguni

Maandamano hayo yalianza wiki mbili zilizopita, na wanafunzi wamekuwa wakizozana na wenzao wanaoiunga mkono serikali na polisi katika mji mkuu, Dhaka, na miji mingine. Serikali ya Bangladesh ilifunga vyuo vikuu vyote vya umma na vya kibinafsi baada ya maandamano hayo kuwa mbaya siku ya Jumanne, huku watu sita wakiuawa na wengine wengi kujeruhiwa, kulingana na…

Read More