TBS YASHIRIKI MAONESHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

AFISA  Rasilimali Watu kutoka Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Bi.Faidha Nyenzi,akitoa elimu kwa wananchi waliofika katika  banda la TBS katika  Maonesho ya wiki ya Utumishi wa Umma 2024 yanayoendelea Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma. MKURUGENZI wa Rasilimali Watu na Utawala kutoka Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Bi.Viola Masako, akizungumza na waandishi wa habari kwenye banda…

Read More

Watoto wanavyoweza kufaulu mitihani yao shuleni

Katika maisha hakuna kitu ambacho kinasumbua wazazi kama kuwatafutia watoto wao elimu nzuri, kila mzazi anatamani kuona mtoto wake anasoma na kufaulu masomo yake na baadaye kuja kuwa na maisha mazuri na kuisaidia jamii yake. Jina langu ni William kutokea Jiji la Dar es Salaan, ninafanya kazi ya sheria katika ofisi binafsi, ni Baba wa…

Read More

Wizara ya Fedha na Kamati ya Dira WAKUTANA

Wizara ya Fedha ni Wizara muhimu katika maendeleo ya Taifa na ufanikishaji wa Maazimio ya Dira ya Taifa ya Maendeleo  Nchini, kwa kuzingatia hilo jana  Kamati  ya usimamizi wa Dira.  Wajumbe wa Tume ya Mipango na Timu ya kitaalamu na uandishi wa dira ya Maendelo 2050 , walikutana kuweza kupata picha kamili ya walipotoka na…

Read More

FYATU MFYATUZI: Namna ya kuukwamua mgongano-muungano wetu

Fyatu Mfyatuzi, mwanazuoni, mzalendo, na mwanamapinduzi asiye kifani, nimejitoa kuchangia madini ya kuondokana na mgongano-muungano. Sihitaji kukaribishwa wala kulipwa kusaidia kufanikisha azma ya kuwa na kaya tulivu yenye mshikamano ambavyo haviwezi kupatikana kwa kuogopana, kudanganyana, kuzidiana akili au kufyatuana ilivyo. Muungano unataka vichwa vinavyochemka, ukweli, ushupavu, uwazi, uzalendo na utayari kufanya ambacho kimombo huitwa ‘give…

Read More

Umuhimu kujua maelezo ya vifungashio vya chakula

Dar es Salaam, Katika dunia ya kisasa, ambapo chakula cha viwandani na bidhaa zilizofungashwa zimeenea kwa kasi, umuhimu wa taarifa sahihi na kamili kwenye vifungashio vya chakula hauwezi kupuuzwa.  Mnunuzi wa leo anakabiliwa na aina nyingi za bidhaa, kila moja ikiwa na ladha, bei, na ahadi mbalimbali za kiafya. Katika mazingira haya, taarifa zilizo kwenye…

Read More

MOIL YAJIPANGA KUCHANGIA MAPINDUZI YA NISHATI SAFI TANZANIA

  Kampuni ya MOIL imeonesha dhamira yake ya kuunga mkono mkakati wa Taifa wa nishati safi kwa vitendo, ikitazama fursa za kuwekeza katika uzalishaji wa Gesi Asilia iliyoshindikizwa (CNG) hapa nchini. Akizungumza katika Kongamano na Maonesho ya Petroli Afrika Mashariki (EAPCE’25), Mkurugenzi wa MOIL, Bw. Altaf Mansoor, aliishukuru Wizara ya Nishati kwa kuandaa jukwaa hilo…

Read More