Romain Folz aja na testi mpya ya Pacome, Ecua

KOCHA wa Yanga, Romain Folz bado anaendelea kukijenga kikosi cha timu hiyo mdogomdogo na jana asubuhi kilikuwa pale Fukwe za Coco, jijini Dar es Salaam. Yanga ilikuwa hapo kwa takribani saa mbili ikiwa na mastaa wake wote wakiwemo viungo Moussa Bala Conte, Pacome Zouzoua na Ecua Celestine, lengo likiwa ni kufanya mazoezi ya ufukweni kuongeza…

Read More

TRC kumwaga ajira 2,460 SGR

Dar es Salaam. Shirika la Reli Tanzania linatarajia kuajiri wafanyakazi 2,460 katika mradi wa Reli ya Kiwango cha Kimataifa (SGR) kwa vipande viwili vya kutoka Dar es Salaam mpaka Makutopora. Taarifa iliyotolewa leo Jumatano, Agosti 20, 2025 katika kurasa za mitandao ya kijamii ya TRC, imeeleza kuwa ajira hizo ni mbali na zaidi ya ajira…

Read More

UCHAMBUZI: Hongereni wanawake lakini safari bado ndefu

Kwa muda mrefu mjadala kuhusu nafasi ya wanawake katika siasa na uongozi nchini umekuwa ukichukua sura mpya kila uchao. Harakati za kuwatia moyo wanawake kujitokeza kugombea nafasi za uongozi kisiasa zimekuwa zikifanyika kwa hatua zinazolenga kusudio mahsusi. Leo hii tunashuhudia matunda ya harakati hizo, lakini pia changamoto na wajibu mkubwa uliopo mbele ya wale waliopata…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Tusilaani tunapoangukia | Mwananchi

Mara nyingi nilipokwenda hospitali kutibiwa, niligundua kuwa madaktari walikuwa wakikariri tiba. Kabla sijajieleza, daktari aliyatazama macho yangu mekundu na kuandika tiba ya malaria. Hata katika eneo lililowekewa karantini kutokana na ugonjwa kipindupindu, macho na akili za matabibu huangukia kwenye mlipuko huo. Ikitokea mtu amekula kiporo akavurugwa na tumbo, haraka sana ataingizwa kundini. Haya ndiyo matatizo…

Read More

‘Mabosi’ walioshikilia hatima ya urais 2025

Dar es Salaam. Siri ya ushindi wa kiti cha urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa 2025, imejificha katika mikoa 10, ukiwamo Dar es Salaam, Mwanza, Morogoro, Tabora, Kagera na Geita. Ingawa ushindi katika uchaguzi, unabebwa na makusanyo ya kura kutoka maeneo mbalimbali, mikoa hiyo inaonyesha kuwa na nguvu ya kuamua mshindi wa kiti cha…

Read More

Uchaguzi huru na wa haki, ni msingi wa demokrasia

Uchaguzi ni njia ya msingi ya kidemokrasia inayotumiwa na kundi la watu, jamii au taifa kuchagua viongozi wanaoaminiwa kuwa bora kwa kipindi fulani, kwa mujibu wa katiba au makubaliano ya pamoja, iwe kwa maandishi au kwa kauli. Hata hivyo, kuwa na uchaguzi pekee hakutoshi; uchaguzi lazima uwe huru na wa haki. Wakati mwingine, jamii hukubaliana…

Read More

UMEME JUA KUCHOCHEA UCHUMI MAENEO YA VIJIJINI

 ::::::: Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imepeleka Mkoani Lindi Mradi wa Umeme Jua wenye thamani ya shilingi milioni 801.74 katika visiwa vyote vitano vilivyopo wilayani Kilwa ikilenga kuongeza upatikanaji wa umeme katika maeneo hayo ambayo yapo mbali na Gridi ya Taifa na kuhamasisha matumizi ya teknolojia safi…

Read More