Njaa na magonjwa huko Gaza yatazidi tu kutoka kwa njaa ya ‘mwanadamu’: WHO-Maswala ya Ulimwenguni
Katika tahadhari ya mkondoni, shirika la UN lilisema kwamba magonjwa na njaa yataongezeka tu, isipokuwa vizuizi vyote vya Israeli vya kusaidia utoaji kwa kiwango viondolewe na ufikiaji unaruhusiwa kwenye strip. Ofisi ya uratibu wa misaada ya UN, Ochaimethibitishwa Jumatano kuwa misaada fulani inaruhusiwa kuingia kwenye enclave kila siku, lakini ni kidogo sana kukidhi kiwango kikubwa…
Amri ya kulinda amani ya UN huko Lebanon inakabiliwa na uchunguzi mbele ya kura ya Baraza la Usalama – Maswala ya Ulimwenguni
Kama wanachama wa Baraza la Usalama la UN wanajadili upya wa Kikosi cha Kulinda Amani cha UN huko Lebanon (UNIFIL) Mbele ya tarehe ya mwisho ya Agosti 31, jukumu la baadaye la misheni na uwezo uko chini ya mjadala mkubwa. UNIFIL kwa muda mrefu imekuwa uwepo wa utulivu kusini mwa Lebanon, ikifanya kazi kando na…
DKT MPANGO AIOMBA BENKI YA CRDB KUTOA ELIMU YA FEDHA AKIZINDUA TAWI BUHIGWE
Buhigwe. Tarehe 27 Agosti 2025: Akizindua tawi la Benki ya CRDB wilayani Buhigwe pamoja na kupokea madarasa mawili ya shule ya sekondari, Makamu wa Rais, Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango ameisifu Benki ya CRDB kwa jitihada zake za kutanua huduma jambo linalosaidia kuongeza ujumuishaji wa kiuchumi kwa wananchi. Mheshimiwa Makamu wa Rais amesema kitendo cha…
REA YAENDELEA KUWAUNGANISHIA UMEME WANANCHI MKOANI MANYARA
::::::;; Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imeendelea kutekeleza miradi ya nishati kwa kuunganisha wateja umeme katika maeneo ya vijijini ili kuboresha na kuhamasisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa wananchi mkoani Manyara. Hayo yamebaibishwa leo Agosti 27, 2025 na Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu,…
Baltasar Engonga ahukumiwa minane jela
Dar es Salaam. Mahakama nchini Guinea ya Ikweta imemhukumu aliyekuwa mkuu wa Shirika la Kitaifa la Uchunguzi wa Fedha (NFIA), Baltasar Engonga kwenda jela miaka minane kwa ubadhirifu wa fedha za umma na kujitajirisha kinyume cha sheria. Ikumbukwe Engonga aligonga vichwa vya habari duniani mwaka jana 2024 baada ya kusambaa kwa kasi kwa kanda za…
Baltasar Engonga ahukumia minane jela
Dar es Salaam. Mahakama nchini Guinea ya Ikweta imemhukumu aliyekuwa mkuu wa Shirika la Kitaifa la Uchunguzi wa Fedha (NFIA), Baltasar Engonga kwenda jela miaka minane kwa ubadhirifu wa fedha za umma na kujitajirisha kinyume cha sheria. Ikumbukwe Engonga aligonga vichwa vya habari duniani mwaka jana 2024 baada ya kusambaa kwa kasi kwa kanda za…
PROF. KITILA MKUMBO NA KAIRUKI WAREJESHA FOMU
:::::::: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Professa Kitila Mkumbo leo Agosti 27, 2025 amerudisha fomu yake ya uteuzi wa kugombea kwenye jimbo hilo ili kuteuliwa na Tume Huru ya Uchaguzi(INEC). Kitila ambaye amekuwa Mbunge wa jimbo hilo kuanzia mwaka 2020 leo amerejesha fomu baada ya kuichukua Agosti…
DKT. ASHATU KIJAJI AREJESHA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KONDOA
…………… Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Kondoa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Ashatu Kijaji, amesema hana mashaka na ushindi wa chama chake katika uchaguzi ujao kutokana na kazi kubwa aliyoifanya kwa kushirikiana na Serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika sekta mbalimbali tangu aingie madarakani. Dkt. Kijaji ameyasema hayo leo Agosti…
WMU YAJIIMARISHA KATIKA TATHMINI NA UFUATILIAJI.
…………… Na Sixmund Begashe -Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii (WMU) kupitia Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini, imewakutanisha wataalam wa Ufuatiliaji na Tathmini kutoka idara, vitengo na taasisi zake kwa lengo la kujadili na kujipanga katika kutekeleza shughuli za Ufuatiliaji na Tathmini wa Sera, Mipango, Mpango Mkakati, Ilani ya Uchaguzi (2025), miradi na programu mbalimbali…