Kinachosubiriwa Samia, Dk Nchimbi wakiunguruma Ruvuma

Songea. Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) zitahamia mkoani Ruvuma ambako mgombea urais, Samia Suluhu Hassan na mgombea mwenza, Dk Emmanuel Nchimbi watafanya mikutano kwa siku tatu tatu. Samia na Dk Nchimbi wanakutana tena katika mkoa mmoja tangu walipozindua kampeni za chama hicho kitaifa, Agosti 28, 2025 kwenye Uwanja…

Read More

Wasiojulikana wajeruhi, watoweka na Sh20 milioni

Same. Watu wasiojulikana wamemvamia na kumjeruhi kwa mapanga Yusto Mapande, mwenyekiti mstaafu wa Halmashauri ya Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro. Mapande alijeruhiwa alipokuwa akiingia nyumbani kwake akitokea kwenye biashara zake, pia ameporwa zaidi ya Sh20 milioni zilizokuwa kwenye gari lake. Mkuu wa Wilaya ya Same, Kasilda Mgeni amethibitisha tukio hilo akisema limetokea jana Agosti 22,…

Read More

 Wanafunzi 292 washindwa kuripoti shule kwa hofu ya wanyama

Simanjiro. Umbali mrefu wa makazi ya wananchi na uwepo wa wanyama wakali katika maeneo hayo vimetajwa kusababisha wanafunzi 292 kushindwa kuripoti kidato cha kwanza mwaka wa masomo 2024/25 katika Shule ya Sekondari ya Emboreet, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara. Kutokana na changamoto hiyo, Mkuu wa shule hiyo, Aziza Msengesi, leo Agosti 23, 2025 ameiomba Serikali…

Read More

MWANA FA KUSHUGHULIKIA MAWASILIANO YA SIMU JIMBO LA MUHEZA

Na Mwandishi Wetu, Muheza MGOMBEA ubunge Jimbo la Muheza kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Hamis Mwinjuma maarufu MwanaFA amesema katika miaka mitano ijayo atahakikisha anaongeza minara ya simu ili Jimbo la Muheza liweze kuwa na mawasiliano katika maeneo ambayo yana changamoto hiyo. Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika kata ya Kwezitu tarafa…

Read More

Maendeleo dhaifu nchini Syria, katika hatari ya kutengwa na kuingiliwa kwa kigeni, UN inaonya – maswala ya ulimwengu

Walionya kwamba hatua za kijeshi za kigeni, kutengwa kwa kisiasa na rasilimali zinazopungua zinatishia kuondoa faida dhaifu. Mjumbe Maalum wa UN Geir Pedersen – ambaye alitangaza kwamba atakuwa akishuka kutoka kwa jukumu lake wakati wa mkutano – aliwaambia mabalozi kwamba viongozi wa mpito huko Dameski wamerithi “sio tu magofu ya majengo yaliyovunjika, lakini ya Wreckage…

Read More