Kampuni ya bima yakimbilia kortini kuzuia kusitishiwa leseni

Dar es Salaam. Kampuni ya Bima ya First Assurance Company Limited, imekimbilia Mahakama Kuu ya Tanzania, kupinga hatua ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (Tira), kuijulisha kuwa leseni yake inatarajiwa kusitishwa ndani ya miezi sita. Kupitia maombi namba 21841 ya 2025 ya kuomba kibali cha kufungua shauri la mapitio ya mahakama, Jaji Hussein Mtembwa…

Read More

Wanafunzi 200,000 waliotakiwa kumaliza kidato cha nne mwaka jana wapo wapi?

Dar es Salaam. Januari 23, 2025, Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) lilitangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne ya watahiniwa waliofanya mtihani 2024. Necta ilisema jumla ya watahiniwa 557,706 walisajiliwa kufanya mtihani huo.  Hata hivyo uchunguzi wa Mwananchi umebaini mwaka 2021 wanafunzi hao walijiunga kidato cha kwanza wakiwa 759,706.  Taarifa iliyotolewa na Tamisemi  ilionyesha,…

Read More

ACT-Wazalendo, CCM Zanzibar hapatoshi | Mwananchi

Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo (Taifa), Othman Masoud Othman amesema haki na maendeleo ya kweli havitapatikana iwapo wananchi wa kisiwa hicho hawatafanya uamuzi wa kubadilisha viongozi walipo kwa sasa kisiwani kupitia uchaguzi mkuu wa Oktoba, mwaka huu. Wakati Othman akisema hivyo, Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema kauli zinazotolewa na chama hicho ni za kujifurahisha…

Read More

CHAMA CHA USHIRIKA RUNALI CHAJENGA VITUO VYA MALIPO KURAHISISHA FEDHA ZA MALIPO KWA WAKULIMA

  Elizaberth Msagula,Lindi   HATIMAYE,ucheleweshaji  wa Fedha za malipo ya wakulima wanaohudumiwa na chama kikuu cha Ushirika Runali kinachojumuisha wakulima wa Wilaya za Ruangwa, Liwale na Nachingwea Mkoani Lindi, itabaki historia baada ya chama hicho kujenga vituo vya  malipo kwa wilaya za Ruangwa,Liwale na Nachingwea vitakavyotumika kuandaa na kuhakiki malipo ya wakulima hao kwa haraka…

Read More

Namna bora ya kukadiria mtaji wa biashara yako

Biashara ni nguzo muhimu ya maisha kwa wengi, hasa wafanyabiashara wadogo wanaotegemea juhudi zao za kila siku ili kujenga maisha bora. Ili kuanzisha na kuendesha biashara kwa ufanisi, mtaji ndio msingi muhimu. Mtaji unaweza kuwa ni fedha au rasilimali zinazohitajika kuanzisha na kuendesha shughuli za kibiashara. Kujua jinsi ya kukadiria mtaji wa biashara yako ili…

Read More