ORYX GAS, VIGOR GROUP WAZINDUA BOHARI YA KUHIFADHI NISHATI YA GESI ZANZIBAR – MWANAHARAKATI MZALENDO

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amezindua  bohari ya kwanza ya kuhifadhi nishati ya gesi ya Oryx huku akizitaka kampuni zingine za gesi kuhakikisha wanaweka mikakati itakayowezesha kupungua kwa bei ya gesi ili waipate kwa gharama nafuu. Akizungumza  mbele ya wananchi wa Zanzibar baada ya kuzindua bohari hiyo ya…

Read More