Minziro kiroho safi Kagera | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Fredy Felix ‘Minziro’ amesema mechi tatu wanazocheza Uganda ni kipimo tosha cha wao kumkabili bingwa mtetezi Yanga kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi Agosti 16 kwenye uwanja wao wa nyumbani. Kagera juzi ilijipima nguvu na Wahiso Giants na kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 yakifungwa na Cleophas Mkandala na Deogratias…

Read More

Katibu wa CCM avamiwa, avunjwa miguu

Songwe. Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Itumba wilayani Ileje, Mkoa wa Songwe, Huruma Ally amevamiwa na watu wasiojulikana na kumvunja miguu yote miwili. Akizungumzia tukio hilo leo Jumapili, Novemba 10, 2024 mjini Ileje, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM wilayani hapa, Maoni Mbuba amesema uvamizi huo umetokea usiku wa kuamkia  jana…

Read More

Morocco: Na bado, tunataka uongozi

LICHA ya Taifa Stars kushinda mechi tatu mfululizo katika hatua ya makundi ya michuano ya CHAN 2024 na kufuzu robo fainali, kocha wa kikosi hicho, Hemed Suleiman ‘Morocco’, amewataka wachezaji wake kuelekeza nguvu kwenye mechi ya mwisho ya hatua hiyo dhidi ya Afrika ya Kati ili kumaliza vinara wa Kundi B. Stars ilianza kwa kishindo…

Read More

TRA yavuka malengo ukusanyaji kodi robo ya kwanza

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza ongezeko la makusanyo ya kodi kwa asilimia 15 kati ya Julai na Septemba 2024 ikilinganishwa na mwaka uliotangulia. Pamoja na hilo, imewaita wanaofanya biashara vyumbani kujisajili ili walipe kodi kabla hatua hazijaanza kuchukuliwa. Kwa mujibu wa TRA, makusanyo ya Julai hadi Septemba mwaka huu ilikiwa na…

Read More