NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI ATEMBELEA MAKAMPUNI YA UWAKALA WA MELI

Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile akutana na kuzungumza na Viongozi Makampuni ya Uwakala wa Meli ya Nyota Tanzania LTD (MAERSK Tanzania) na Sturrock Flex Shipping LTD jijini Dar es Salaam. Katika mazungumzo yake ametumia fursa hiyo kuwaeleza kuhusu maboresho mbalimbali yanayofanywa na Serikali katika Miundombinu ya Bandari ikiwemo Dar es Salaam, Tanga, Mtwara na…

Read More

Baharia anayeamini 2025 ni zamu yake kuwa Rais

Mambo mengi yanajenga kumbukumbu kuhusu Mei 18, 1966. Chombo cha anga cha Surveyor 1, kilichobuniwa na kuundwa na Shirika la Sayansi ya Anga la Marekani (Nasa), kilitua kwa mara ya kwanza mwezini kwa majaribio. Kwa Canada, ni kumbukumbu mbaya kwani magaidi walilipua jengo kuu la Bunge la nchi hiyo kwa mabomu yaliyotegwa. Kinyota, Mei 18…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Kijiwe kimembariki Yondani Pamba

IWE ni umri sahihi au sio sahihi, wote tunakubaliana kwamba Kelvin Yondani ‘Vidic’ ni mtu mzima hasa kwenye Ligi yetu ya Tanzania Bara ukilinganisha na mabeki wengi wa kati. Nyaraka zake mbalimbali zinaonyesha kuwa alizaliwa Oktoba 4, 1984 hivyo kwa sasa tayari ametimiza miaka 40 hivyo kiuhalisia wachezaji wengi wa Ligi Kuu ni wadogo zake…

Read More

TBS Yateketeza Tani 43 za Bidhaa zilizopigwa Marufuku

NA EMMANUEL MBATILO, PWANI SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Mashariki limeteketeza bidhaa hafifu za vipodozi na nguo za ndani za mtumba tani 43 zenye thamani ya shilingi milioni 303 ambazo zimepigwa marufuku kuingia nchini. Bidhaa hizo zilikamatwa katika operasheni waliyoifanya katika mikoa ya Pwani, Dar es Salaam na Morogoro na kubaini uwepo wa…

Read More

Wakulima wa matikiti Kishapu walia fisi kuharibu mazao

Shinyanga. Wakulima wa zao la matikiti katika Kijiji cha Kishapu kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, wanalazimika kujenga mahema mashambani ili kukabiliana na uharibifu wa zao hilo unaofanywa na fisi. Hayo yamebainishwa leo Februari 24, 2025 na Katibu wa kikundi cha Jipagile kilichopo katika kijiji hicho, Samwel Lusona amesema fisi hao hula…

Read More

Timu za Msaada wa UN zinaomba ufikiaji huku kukiwa na ripoti za Gazans risasi kukusanya chakula – maswala ya ulimwengu

Matangazo yasiyothibitishwa kutoka kwa Rafah ambapo msingi wa kibinafsi lakini wa Israeli unaoungwa mkono na Jeshi la Kibinadamu ni msingi ulionyesha matukio ya hofu na umati wa watu wanaokimbilia pande tofauti, wakati wengine walichukua masanduku ya vifaa. Ofisi ya Haki za Binadamu ya UN, Ohchralisema kuwa imepokea habari kwamba angalau watu 47 walikuwa wameumizwa Jumanne…

Read More

Sababu mahakama kazuia matangazo ‘live’ kesi ya Lissu‎

‎Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu imeamuru maelezo ya mashahidi wa Jamhuri wanaotarajiwa kutoa ushahidi wao kwenye kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, kusomwa huku ikirushwa mubashara kama ambavyo kesi hiyo imekuwa ikifanyika. Mahakama hiyo katika uamuzi wake uliotolewa na Hakimu Mfawidhi, Hakimu Mkazi Mkuu,…

Read More

HAKUNA VIZIMBA AU MAENEO MENGINE YA KARIAKOO YALIYOGAWIWA AU KUUZWA SOKO LA KARIAKOO – UONGOZI SOKO LA KARIAKOO.

Shirika la Masoko ya Kariakoo linatoa taarifa kwa umma kwamba kwa sasa hakuna vizimba au maeneo mengine ya biashara yaliyogawiwa au kuuzwa kwenye soko la Kariakoo kama walivyodai baadhi ya wafanyabiashara walionukuliwa na vyombo vya habari hivi karibuni. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Kaimu Meneja Mkuu wa Shirika hilo Sigsibert…

Read More