MFUMO ULIOBORESHWA WA TANCIS KUBORESHA TARATIBU ZA FORODHA NCHINI.

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema mfumo mpya wa Tanzania Customs Integrated System (TANCIS) utarahisisha uingizwaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi na kuingia ndani kwa haraka, jambo litakalosaidia kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na watafanyakazi mchana na usiku. Mfumo huo uliozinduliwa hivi karibuni umebuniwa kuboresha ufanisi, kuhakikisha usahihi,…

Read More

Mashindano ya Taifa ya klabu kuogelea yaanza kwa kishindo

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Mashindano ya Taifa Klabu ya Kuogelea yameanza leo Aprili 20,2024, huku  waogeleaji kutoka klabu mbalimbali wakionekana kuchuana vikali  kwenye bwawa la kuogelea  la Shule ya Kimataifa ya Tanganyika(IST), Masaki jijini Dar es Salaam. Michuano  inayotarajiwa kumalizika kesho Aprili 21,2024 inashirikisha jumla ya  klabu 11 za Tanzania na mbili zikitokea nchini…

Read More

Zaidi ya nusu ya Watanzania wanapenda huduma za tiba asili

Dodoma. Asilimia 60 ya Watanzania wanatafuta tiba za asili, ingawa hakuna utafiti zaidi unaoeleza iwapo kundi hilo linatoka vijijini au ni wananchi waishio mijini, imeelezwa. Takwimu hizo zimetolewa leo Ijumaa Agosti 29, 2025 na Dk Ahmad Makuwani, Mkurugenzi wa Huduma za Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto kutoka Wizara ya Afya. Dk Makuwani amesema Serikali…

Read More

ATCL YAINGIA MAKUBALIANO KUPELEKA MARUBANI KUFUNDISHA NA KUSIMAMIA NDEGE MPYA NCHINI NIGERIA

Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL), imeingia makubaliano ya kupeleka marubani wake kufundisha na kusimamia ndege mpya za Airbus A220 za Kampuni ya Ndege ya Ibom iliyopo nchini Nigeria. Mkurugenzi Mtendaji wa ATCL, Mha. Ladislaus Matindi, amethibitisha kuwepo kwa makubaliano hayo ambapo amesema ATCL imetoa marubani wake waandamizi wawili ambao watakuwa na jukumu la kuwafundisha kwa…

Read More