DKT MPANGO AWATAKA WANAMICHEZO KULETA USHINDA TANZANIA

::::: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa wanamichezo kushiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola kama washindani wa kweli ambao wataonesha vipaji na kuiletea Tanzania heshima.   Makamu wa Rais ametoa wito huo wakati akipokea Kifimbo cha Mfalme wa Uingereza kuelekea Mashindano ya Michezo ya Jumuiya ya…

Read More

Diwani mbaroni ‘utekaji’ wa mbunge, DCI aeleza mazito

Moshi/Nairobi. Sarakasi ya kutekwa kwa mbunge mara baada ya kutoka ibadani kisha kutelekezwa shambani akiwa na majeraha imeendelea kuwa kitendawili baada ya diwani kutiwa mbaroni kwa sakata hilo. Kukamatwa kwa diwani huyo kunafanya idadi ya watu ambao wameshatiwa mbaroni kufikia 10 huku Polisi wakiendelea na utaratibu wa kumfikia mbunge huyo anayedai kulazwa katika Hospitali ya…

Read More

BEI YA ZAO LA PAMBA 2024/2025 YATANGAZWA RASMI

  Na Mwandishi wetu – Malunde 1 blog Wizara ya kilimo kupitia bodi ya pamba nchini imetangaza bei elekeziya ununuzi wa zao la pamba katika msimu wa mwaka 2024/2025 ambayo ni Sh 1,150/=kwa kilo 1 ya pamba. Sherehe hizo zilizoambatana na uzinduzi wa ununuzi wa zao la  pamba kitaifa 2024/2025  zimefanyika leo katika Kijiji cha…

Read More

Olympic 2024 Huko Ufaransa Inazidi Kunoga Haswa

Michezo ya Olympic huko Ufaransa inazidi kunoga haswa ambapo ndani ya Meridianbet wameona kuwa wasikuache hivi hivi wamekuwekea ODDS za kibabe sana. Ingia na ubashiri michezo zaidi ya 200 sasa. Inajulikana kuwa michezo ya Olympic mwaka huu wa 2024 ilianza Julai 26 na inatarajia kumalizika hapo Agosti 11 mwaka huu ambapo michezo hii imejumuisha takribani…

Read More

NMB Kumkabidhi Rais Samia Skuli, Kuwanoa Wajasiriamali 700 Kizimkazi Festival 2024 – MWANAHARAKATI MZALENDO

NA MWANDISHI WETU, ZANZIBARKAMATI ya Maandalizi ya Tamasha la Kizimkazi (Kizimkazi Festival 2024), imetambulisha rasmi wadhamini wa mwaka huu, ikiwemo Benki ya NMB, ambayo pamoja na mambo mengine itawanoa wajasiriamali zaidi ya 700 na kukabidhi Skuli ya Maandalizi ya Tasani, iliyopo Sheia ya Tasani, Makunduchi, Zanzibar. Kizimkazi Festival ni tamasha linalotumika kuzindua miradi ya maendeleo…

Read More