TRA YAZINDUA YAZINDUA MFUMO MPYA WA MAKUSANYO YA MAPATO

Na.VERO  IGNATUS ARUSHA   Mamlaka ya Mapato  nchini (TRA) imezindua mfumo wa maarifa (knowledge management system) unaolenga kuongeza ufanisi,uwazi,na weledi katika ukusanyaji wa mapato ,sambamba na kuboresha huduma kwa walipa kodi katika mazingira ya sasa ya biashara yenye ushindani mkubwa yanayochochewa na teknolojia na utandawazi. Yusuphu Mwenda ni Kamishna mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)…

Read More

WFP inalaani uporaji huko Bukavu baada ya waasi wa M23 kuchukua jiji muhimu – maswala ya ulimwengu

Katika ujumbe mkondoni Jumatatu, WFP Alisema kuwa “inalaani uporaji wa ghala zake huko Bukavu kusini mwa Kivu … vifaa vya chakula vilivyohifadhiwa vilikusudiwa kutoa msaada muhimu kwa familia zilizo hatarini zaidi ambazo sasa zinakabiliwa na shida ya kibinadamu”. Watekaji nyara walifanya na tani 7,000 za vifaa vya chakula vya kibinadamu, shirika la UN lilisema, na…

Read More

Wananchi 10,270 wapatiwa boti za uvuvi, mwani

Unguja. Wananchi 10,270 wamepatiwa boti za kuendeshea kilimo cha mwani kati ya hao 5,389 vijana, 3,159 wanawake na 1,722 wanaume, boti hizo zimetolewa kupitia programu ya Uviko-19. Pia, kupitia programu hiyo, Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi ilitoa mafunzo kwa wakulima wa mwani 7,300 kuhusiana na namna bora ya kufanya shughuli zao ambao zaidi…

Read More

MTATURU AKABIDHI MASHINE YA KUDURUFU,AMSHUKURU RAIS SAMIA.

  MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ameshiriki Mahafali ya 65 ya Shule ya Msingi Matongo na kuwapongeza Walimu,Wazazi na Wanafunzi kwa jitihada za kupandisha ufaulu. Aidha amekabidhi Mashine ya kudurufu yenye thamani ya Sh Milioni 3 ikiwa ni ahadi aliyoitoa mwaka jana 2023 kwenye mahafali kama hayo. Akizungumza katika mahafali hayo Octoba 2,2024,Mtaturu amewahimiza…

Read More

DKT.BITEKO AIPONGEZA EWURA KWA MWONGOZO WA USIMAMIZI WA USAFI WA MAZINGIRA NA TOPEKINYESI

• Asisitiza Ushirikiano wa Wadau katika usafi wa Mazingira nchini •Azitaka Mamlaka  kuweka mikakati  madhubuti ya usimamizi wa usafi wa mazingira Na.Mwandishi Wetu-DODOMA NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe, Dkt. Doto Mashaka Biteko  ameipongeza Mamlaka  ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kwa kuandaa Mwongozo wa Usimamizi wa Usafi wa Mazingira…

Read More