Chalamila aagiza mama anayeidai Hospitali ya Amana alipwe

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewataka wakazi wa mkoa huo kutokubali kufanya biashara na taasisi yoyote ya Serikali bila kuwa na mkataba na nyaraka rasmi za makabidhiano ya huduma iliyotolewa. Amesema hatua hiyo itaepusha migogoro kati ya wananchi na taasisi za Serikali ambazo wanafanya nazo biashara, kama ilivyotokea…

Read More

Rais Samia mgeni rasmi kikao kazi watendaji wakuu wa taasisi

Arusha.  Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kikao kazi cha wenyeviti wa bodi na watendaji wakuu wa taasisi za umma, kitakachofanyika mkoani Arusha. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumapili Agosti 25,2024, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kikao kazi hicho kitakachofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha…

Read More

VIDEO: Hatua kwa hatua maendeleo Zanzibar

Unguja. Rais Hussein Mwinyi amesema Zanzibar inapoadhimishwa miaka 61 ya Mapinduzi, inajivunia mafanikio makubwa yaliyopatikana, ikiwamo kudumisha amani, umoja na mshikamano na kukuza uchumi. Mbali ya hayo, amesema kumefanyika ujenzi wa miundombinu, uwekezaji na biashara, kuboresha huduma za jamii na kuimarisha demokrasia na utawala bora. Hatua kwa hatua maendeleo Zanzibar Dk Mwinyi alisema hayo jana,…

Read More

HAKUNA MTU ALIYE NA HAKI YA KUITISHIA ICC – DUJARRIC

Maseneta wa Marekani walioitishia Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC). Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Stephen Dujarric ameeleza kuwa misaada inapaswa kuingia Ukanda wa Gaza bila ya kizuizi chochote na kwamba upande wowote haupaswi kutoa vitsho kwa wafanyakazi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC). Dujarric ambaye ni Msemaji wa Katibu Mkuu…

Read More

Utambulisho wa Tshabalala Yanga wamfunika hadi Sowah

UTAMBULISHO wa aliyekuwa nahodha wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ ndio wenye mapokezi makubwa zaidi dirisha hili la usajili kwa klabu za Simba na Yanga ukimpiku Jonathan Sowah wa Simba. Tshabalala ametambulishwa usiku wa kuamkia leo Jumatano hadi sasa baada ya kupostiwa mtandao wa kijamii Instagram wadau wa soka 132k wamependezwa na utambulisho wake wakati mshambuliaji…

Read More

TCB na Tiseza kuwezesha wawekezaji huduma za kifedha

Dar es Salaam. Wakati idadi ya mitaji na miradi inayosajiliwa nchini ikiongezeka kila siku, wawekezaji wametafutiwa namna ya kupata huduma za kifedha ili kurahisisha utekelezaji wa miradi hiyo. Hiyo ni baada ya Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (Tiseza)  kuweka saini Makubaliano ya Ushirikiano (MoU) na Benki ya Biashara Tanzania (TCB), yanayolenga…

Read More

Benki ya Absa Tanzania Washirikiana na Hindsight Ventures Kuhamasisha Ubunifu wa FinTech na Biashara Changa Kupitia “Wazo Challenge”

• Mpango wa siku 60 wenye mkondo wa ubunifu na matukio ya kiteknolojia za kidigitali• Mada zinajumuisha uzoefu wa wateja, utambulisho wa kidijitali, na bidhaa za kidijitali• Biashara changa (startups) zilizochaguliwa zitapata fursa ya kujaribu suluhisho zao na Benki ya Absa Tanzania• Kila startup iliyochaguliwa itapata ufikiaji wa bidhaa za kiteknolojia zenye thamani ya USD…

Read More

MAWASILIANO YA BARABARA DAR – LINDI KUREJEA KESHO, SOMANGA PANAPITIKA: WAZIRI BASHUNGWA

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa anaendelea kuisimamia timu ya wataalam na Makandarasi kurejesha mawasiliano ya barabara ya Lindi – Dar es Salaam ambapo tayari eneo la somanga limeanza kupitika na amesisitiza kuwa ifikapo kesho Alhamisi mawasiliano ya barabara hiyo yatarejea. Bashungwa amezungumza hayo Mei 08, 2024 Mkoani Lindi wakati akisimamia zoezi la urejeshaji wa miundombinu…

Read More

Wanawake Stendi ya Magufuli walia kunyanyaswa, kuombwa rushwa

Dar es Salaam.  Wanawake wanaofanya kazi za ujasiriamali na usafirishaji katika kituo kikuu cha mabasi Magufuli, jijini Dar es Salaam wameeleza magumu wanayokumbana nayo kituoni hapo. Wametaja unyanyaswaji kijinsia, kuombwa rushwa ya ngono, kudharauliwa kuwa ni miongoni mwa changamoto zinazowapa wakati mgumu katika kazi zao. Wanawake hao ambao ni mama lishe, wabeba mizigo, makarani na…

Read More