MKUU WA MISHENI YA UANGALIZI WA UCHAGUZI YA SADC NCHINI MSUMBIJI AFANYA MAZUNGUMZO NA MGOMBEA URAIS WA CHAMA CHA FRELIMO

Rais Mstaafu wa Zanzibar na Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC –SEOM) nchini Msumbiji, Mhe. Dkt. Amani Abeid Karume ameendelea kukutana na wadau mbalimbali wa uchaguzi mkuu wa Msumbiji ambapo tarehe 04 Oktoba, 2024 jijini Maputo amekutana na kufanya mazungumzo na Mgombea urais wa Chama cha…

Read More

WADAU WA MALEZI NA MAKUZI WAKUTANA MOROGORO

Na Mwandishi Wetu, Dodoma. Ofisi ya Rais – TAMISEMI kwa kushirikiana na Shirika la kuhudumia Watoto ulimwenguni UNICEF imewakutanisha Wadau wa Malezi na Makuzi nchini kwa ajili ya kujadili na kutoa maoni juu ya michoro na makadirio ya gharama za ujenzi wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana. Akifungua kikao kazi hicho kilichofanyika mkoani Morogoro…

Read More

‘Watumia Gmail kaeni chonjo kuna kundi la wadukuzi’

Dar es Salaam. Kampuni ya Google imewataka watumaji wa huduma ya barua pepe ya mtandao ya Gmail kuwa makini kwani kuna kundi la wadukuzi wanaozilenga akaunti hizo, baada ya kufanikiwa kuiba taarifa. Google imesema watumiaji wa huduma hiyo wanaofika zaidi ya bilioni mbili duniani kote wasijibu jumbe zinazowataka kutoa nywila (Password), za akaunti zao. Google…

Read More

Awesu aibua jambo kipigo Dodoma

KIUNGO wa Simba, Awesu Awesu amefunguka siri ya ushindi wa timu yake dhidi ya Dodoma Jiji kuwa ni kufanyia kazi maagizo aliyopewa na kocha wa timu hiyo Fadlu Davids. Ipo hivi; Awesu aliingia kipindi cha pili dhidi ya Dodoma Jiji baada ya Simba kumaliza dakika 45 za kipindi cha kwanza bila ya kufungana na wapinzani…

Read More

NBC KUIMARISHA USHIRIKIANO NA WATEJA MKOANI DODOMA .

Benki ya Taifa ya Biashara kupitia timu ya kitengo cha Biashara na Uwekezaji (CIB), imefanya Ziara ya kukuza ushirikiano pamoja na ubunifu kwa wateja katika tasnia ya Benki Mkoani Dodoma. Aidha katika ziara hii Timu ya NBC ilipata nafasi ya kumsalimu Mhasibu Mkuu wa Serikali Ndg.Leonard Mkude katika Ofisi za Wizara ya Fedha Dodoma pamoja…

Read More

TANZANIA IMEPIGA HATUA KWENYE MAWASILIANO – MAJALIWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazopiga hatua kubwa kwenye sekta ya mawasiliano na teknolojia ya habari. Amesema kuwa mipango na mikakati iliyowekwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha sekta ya teknolojia ya habari na mawasiliano inakua, imeonesha kuleta matokeo chanya katika maendeleo ya Taifa. “Ninatoa pongezi kwa…

Read More

Wachimbaji wadogo wampa Tano Rais Samia

· Umeme mgodini ‘kicheko’ · Uzalishaji waongezeka 70% WACHIMBAJI wadogo wa Mgodi wa Dhahabu wa Basia uliopo kijiji cha Mwanubi Wilaya ya Shinyanga Vijijini wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapelekea huduma ya umeme katika mgodi huo. Akizungumza Mwenyekiti wa Mabroka Mkoa wa Shinyanga (CHAMATA) Masanja…

Read More

AIRTEL YAZINDUA HUDUMA YA ‘AIRTEL CHAPAKAZI’ MAALUM KWA WAJASIRIAMALI

Airtel Tanzania leo imezindua rasmi huduma ya Airtel Chapakazi, suluhusho jipya lililoundwa kuchochea ukuaji wa wajasiriamali na wafanyabiashara wadogo kote nchini. Uzinduzi wa huduma hiyo uliofanyika Makao makuu ya Airtel Tanzania jijini Dar es Salaam, ulionyesha dhamira ya Airtel katika kukuza maendeleo jumuishi ya kidijitali na kuunga mkono ajenda ya kukuza uchumi wa Tanzania. Airtel…

Read More