Chadema yadai kukamata maboksi ya kura

  CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kuwa kimekamata karatasi za kura zilizopigia kura wagombea wa CCM kabla ya uchaguzi. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea). Taarifa liyotolewa kwa umma na John Mrema, Mkurugenzi wa Itifaki , Mawasiliano na Mambo ya Nje amesema kuwa jimbo la Igunga mawakala wa Chama hicho wamekamata…

Read More