Yunus: Mambo Safi Msumbiji | Mwanaspoti

KIUNGO Mtanzania, Yunus Abdulkarim, anayecheza soka la kulipwa Msumbiji akiwa na timu ya Nacala, ameelezea uzoefu alioupata msimu uliopita, alipocheza kwa mara ya kwanza Ligi ya Mocambola. Yunus, aliyeonyesha kiwango cha juu uwanjani akifunga mabao matatu msimu huo, akiungana na wachezaji wengine muhimu wa Nacala. “Msimu uliopita ulikuwa na changamoto nyingi, lakini ulikuwa na mafanikio…

Read More

Man United inakaribia kuwinda mfanyakazi mwingine wa Arteta.

Mwanafizikia wa Arsenal Jordan Reece anaripotiwa kuwa tayari kuondoka katika klabu hiyo na kujiunga na Manchester United. Mashetan wekundu walimwajiri daktari wa Arsenal Gary O’Driscoll msimu uliopita wa joto, na hivyo kumaliza miaka yake 14 katika klabu hiyo ya kaskazini mwa London. Aliwasili kutoka Arsenal akiwa na sifa ya kuwa mmoja wa madaktari waliobobea kwenye…

Read More

Waliofanya vizuri Swalle cup kupelekwa na wizara kufanya majaribio timu za Championship waziri Dkt.Ndumbaro aeleza

Waziri wa Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt.Damas Ndumbaro amesema wizara kwa kushirikiana na mbunge wa jimbo la Lupembe mkoani Njombe Edwirn Swalle inakwenda kutoa fursa kwa vijana wenye vipaji kwenda kufanya majaribio katika timu zinazoshiriki ligi ya championship kwa lengo la kukuza zaidi vipaji vyao na kujipatia ajira. Dkt.Ndumbaro ameeleza hayo mara baada ya kutazama na…

Read More