TPA yaja na mkakati wa soko la DRC

Dar es Salaam. Baada ya mkakati wa maboresho kuongeza ufanisi wa utendaji wake, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) sasa imegeukia kuyasaka masoko, ikianza na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). DRC inachangia zaidi ya asilimia 40 ya mizigo yote inayosafirishwa kupitia Bandari ya Dar es Salaam, kwa mujibu wa ripoti ya TPA ya…

Read More

Uwanja wa Mkapa kufungwa kupisha maandalizi AFCON 2027

SERIKALI imetangaza kuufunga Uwanja wa Benjamin Mkapa kuanzia mwezi huu ili kupisha awamu ya mwisho ya ukarabati mkubwa, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027. Akizungumza katika mahojiano na gazeti la The Citizen, Msemaji Mkuu wa Serikali ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,…

Read More

Majanga ya kuishi na mwenza haambiliki

Kuishi na mwenza asiyeambilika ni changamoto kubwa, inayoweza kuleta mgogoro na usumbufu katika ndoa au uhusiano. Katika maisha ya ndoa, wanandoa wanategemea na kutegemeana kwa kiasi kikubwa, lakini wakati mwingine mmoja au wote wawili wanakutana na hali ambazo hazitarajiwi.  Mmoja anaweza kuwa na tabia au mienendo ambayo inakuwa vigumu kubadilika au kukubaliana nayo, na hii…

Read More

Bado Watatu – 36

Insekta Amour akaniambia: “Kitendo chako cha kuuhifadhi ule mwili kwa siku mbili na kisha kwenda kuutupa makaburini kinaonyesha kuwa wewe ndiye uliyemuua Shefa; sasa ulifanya hivyo ili kupoteza ushahidi.”

Read More

Misime: Hakuna kontena la silaha lililoingizwa nchini

Wakati tuhuma za kuingizwa kwa kontena lenye silaha zikisambaa kwenye mitandao ya kijamii, Jeshi la Polisi Tanzania limekanusha taarifa hizo likisema ni madai yasiyo na ukweli. Hayo yameelezwa na Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), David Misime, wakati akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatatu, Septemba 1, 2025, jijini Dodoma….

Read More

KATIBU MKUU CCM AFUNGUA MAFUNZO YA UONGOZI NA UTAWALA BORA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Asha-Rose Migiro, leo Jumatatu,Machi 9,2026, amefungua rasmi mafunzo maalum ya Uongozi na Utawala Bora kwa viongozi na watendaji waandamizi wa Chama yanayofanyika katika Ukumbi wa Mount Royal, Mkoani Iringa. Mafunzo hayo ya siku nne yameandaliwa na Jitegemee Holdings Company Limited (JHCL) kwa kushirikiana na Taasisi ya Wakurugenzi…

Read More

Wanaume wahimizwa kupima saratani ya tezi dume mapema

Moshi. Wakati saratani ya tezi dume ikitajwa kushika kasi katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini, tafiti zinaonesha kuwa kati ya wanaume 470 waliopimwa mwaka 2023, 170 walikutwa na saratani hiyo bila wao kujua. Hayo yameelezwa leo Septemba 28, 2025, na Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Magonjwa Yasiyoambukiza (KCRI) cha Hospitali ya KCMC, Profesa Blandina…

Read More

Bado Watatu – 2 | Mwanaspoti

USIKU ule nilirudi nyumbani nikiwa na fadhaa. Asubuhi yake ndio siku ambayo mkuu wangu wa kazi alinikabidhi cheo changu kipya kilichotoka makao ya polisi jijini Dar na kunivalisha tepe za uinspekta.Akili yangu ilikuwa haipo pale, ilikuwa kwa Hamisa. Hata baada ya kupata cheo hicho sikuonekana kuwa mwenye furaha kamili.Nilikabidhiwa ofisi mpya na majukumu mapya huku…

Read More