Watendaji serikalini watakiwa kusikiliza kero za wananchi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewaagiza watendaji wa Serikali nchini kusikiliza na kutatua kero za wananchi. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kata ya Katome, Jimbo la Bukombe mkoani Geita, Dkt. Biteko amesema ni wajibu wa watendaji wa Serikali kuhakikisha…

Read More

Tanzania kurusha Satelaiti yake ya kwanza

  TANZANIA inajiandaa kurusha Satelaiti ya kwanza itakayolinda mipaka na Bayoanuwai katika hifadhi na mapori nchini. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam …(endelea). Satelaiti hiyo iliyopewa jina la TanSar1, imetengenezwa na Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT); na ikashinda shindano la raundi ya nane la KiboCUBE la dunia la kurusha Satelaiti. Taarifa iliyotolewa leo…

Read More

NMB yang’ara maonesho OSHA

Benki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta ya fedha na bima kama mshindi wa pili (first runner up) katika tuzo zilizotolewa na Wakala wa Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA) wakati wa kufunga Wiki ya Maadhimisho ya Kimataifa ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi 2024 yaliyofanyika jijini Arusha. Anaripoti Mwandishi…

Read More