Utoro chanzo cha ufaulu mdogo Geita

Geita. Wakati kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi wa shule za sekondari mkoani Geita kikiwa chini ya asilimia 40, utoro wa wanafunzi, umetajwa kuwa sababu kubwa inayochangia mkoa huo kuwa chini kitaaluma kukiwa na kundi kubwa la watoto wanaojihusisha na shughuli za uzalishaji mali na kuacha kuhudhuria masomo. Taarifa ya elimu ya mkoa huo imeweka wazi…

Read More

Vyuo vya afya nchini kutumia mtalaa mmoja wa mafunzo

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Elimu ya Juu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Peter Msofe amedokeza kuanza kutumikia kwa mtalaa mmoja kwa wanafunzi wa masomo ya  udaktari na uuguzi, lengo likiwa kupata wahitimu wenye sifa moja na washindani katika soko la ajira ndani na nje ya nchi. Pia kuanza kutumika kwa mtalaa huo kutawaongezea…

Read More

Lissu aibua mapya mahakamani, askari Magereza lawamani

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amewalalamikia askari Magereza namna wanavyomdhibiti kwa kumnyima fursa ya kuwasiliana na mawakili wake na kumzuia kupewa hata nyaraka. Lissu ameibua malalamiko hayo dhidi ya maofisa hao wa magereza, leo Jumatano, Julai 16, 2025, wakati wa usikilizwaji wa shauri lake la maombi ya…

Read More

NIDA YAJA NA MBINU MPYA KUHAKIKISHA VITAMBULISHO VANACHUKULIWA

Na Mwandishi wa NIDA Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imewataka wale wote ambao hawakujitokeza kuchukua vitambulisho vyao vya Taifa vilivyopelekwa katika ofisi za Kata, Vijiji, Mitaa, Vitongoji na Shehia kufika katika ofisi za NIDA za wilaya walikojisajili kuchukua vitambulisho vyao mara watakapopokea ujumbe mfupi wa maandishi katika simu zao za mkononi (sms) unaowataka kufanya…

Read More

Kibu azua utata Simba | Mwanaspoti

WAKATI Willy Onana na nyota mpya aliyetambulishwa juzi, Awesu Awesu jana walipaa kwenda kuongeza mzuka katika kambi ya Simba iliyopo, Ismailia Misri, nyota wa timu hiyo, Kibu Denis amezua utata. Awesu na Onana ni kati ya wachezaji waliondoka nchini jana sambamba na baadhi ya viongozi kwenda Misri kuungana na wachezaji wengine wanaoendelea kujifua chini ya…

Read More