Mabalozi kutoka nchi mbalimbali waahidi kuisaidia Tanzania kutangaza vivutio vya utalii

Na Mwandishi Wetu -Arusha.  Mabalozi wanaowakilisha nchi mbalimbali pamoja na mashirika ya kimataifa wameonesha kuvutiwa na vivutio vilivyoko nchini huku wakiahidi kuiongezea nguvu Tanzania katika kutangaza vivutio hivyo katika nchi zao. Wakizungumza jana kwenye hafla ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na Benki ya NMB kwa kushirikiana na Wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa…

Read More

Kizaazaa Baada Ya Rubani Kuzimia Ndege Ikiwa Angani – Global Publishers

Abiria waliokuwa wakisafiri na ndege ya Shirika la EasyJet kutoka Misri kuelekea Manchester walijikuta katika kizaazaa kikubwa baada ya rubani wa ndege hiyo kuzimia ghafla wakati ndege ikiwa angani, tukio lililotokea jana, Jumamosi. Kufuatia dharura hiyo, ilibidi msaidizi wa rubani, au First Officer kama anavyoitwa kitaalamu, aishushe ndege hiyo kwa dharura na hatimaye kufanikiwa kutua…

Read More

WAZIRI MHAGAMA AMPONGEZA DK.RAIS SAMIA,UINGEREZA KUTOKOMEZA MAGONJWA YASIYOPEWA KIPAUMBELE

    Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Afya Jenista Mhagama amesema anamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na Serikali ya Uingereza kwa kuamua kufanya kazi ya kutokomeza magonjwa haya amabyohayapewi kipaumbele. Ametoa shukrani hizo  Septemba 18, 2024 wakati wakiwa katika ziara pamoja na Princess Sophie (Duchess of Edinburgh)…

Read More

Dk Mpango: Mapambano mabadiliko ya tabia nchi yawe jumuishi

Arusha. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amesema ni muhimu kuwa na usawa katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, huku akieleza Tanzania imeendelea kusisitiza ujumuishaji wa masuala ya jinsia na mabadiliko kupitia sera, programu na mikakati kwenye ngazi zote. Dk Mpango amesema hayo leo Jumatatu, Septemba 2, 2024 jijini Arusha, alipofungua Jukwaa la…

Read More

CP Kaganda atoa uzoefu wake masuala ya polisi jamii Marekani pamoja na nchi alizohudumu kulinda amani, washiriki waipokea mbinu hiyo.

Ikiwa ni mwendelezo wa mafunzo kwa askari wa kike na wasikamizi wa sheria duniani yanayoendelea Chicago Nchini Marekani suala la Uzoefu katika Masuala ya Polisi Jamii nalolikatolewa na kamishna wa Polisi Utawala na menejimenti ya rasilimali watu katika maeneo aliyohudumu akiwa Mkuu wa Operesheni Abyei Sudan kusini. CP Suzan Kaganda ametoa uzoefu huo Nchini humo…

Read More

Othman ahimiza viongozi kuacha fitna wakigombea uongozi

Pemba. Mwenyekiti wa chama cha ACT-Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman amewahimiza viongozi wa chama hicho kujenga umoja na kuepuka fitna wakati wa kuwania nafasi za uongozi na kuongeza umakini kuelekea uchaguzi mkuu, ili kukabiliana na uporaji wa haki dhidi ya demokrasia. Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, amesema hayo leo…

Read More

Pamoja na juhudi kuelekea suluhisho la kisiasa, vurugu bado zinaendelea Mashariki – Maswala ya Ulimwenguni

Tangu Januari, mkoa huo umeona kuongezeka mpya kwa vurugu wakati kikundi cha Rwanda kinachoungwa mkono na M23 kilizindua mkoa wa kaskazini na kusini mwa Kivu. Wakati mvutano unaendelea katika DRC, mstari wa mbele na nafasi za mazungumzo zinabadilika, zinaunda njia ya amani, Baraza la Usalama Sikia Ijumaa hii. Njia ya amani ya kudumu katika DRC…

Read More