Ally Salim apewa mmoja Dodoma Jiji

KIPA mpya wa Dodoma Jiji, Ally Salim amesaini mkataba wa mwaka mmoja ambao una kipengele cha kuongezewa mwingine endapo akionyesha kiwango cha juu kuisaidia timu hiyo. Kigogo mmoja wa timu hiyo (jina tunalo) alisema sababu ya kumsainisha kipa huyo mwaka mmoja ilitokana na muda mfupi wa kufanya makubaliano ya baadhi ya mambo, hivyo wakaona bora…

Read More

Simba kutozwa faini kukacha kikao

KUELEKEA mchezo wa Dabi ya Kariakoo, Simba imeshindwa kutokea katika mkutano wa pili wa maandalizi ya mechi hiyo inayotarajiwa kuchezwa kesho kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam hivyo itapigwa faini ya Sh500,000. Mapema leo asubuhi Simba imeshindwa kutokea kwenye mkutano wa makocha na wanahabari uliofanyika makao makuu mdhamini wa ligi hiyo huku Yanga ikitokea….

Read More

Saido atoa masharti ya kutua KenGold

WAKATI mabosi wa KenGold wakipigia hesabu za kumsainisha aliyekuwa kiungo wa Yanga na Simba, Mrundi Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’, nyota huyo ameweka masharti mapya kwa viongozi wa timu hiyo ya jijini Mbeya ili akaitumikie kwa miezi sita. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo, zimeliambia Mwanaspoti ‘Saido’ anahitaji pesa ya usajili Sh50 milioni na mshahara wa Sh12…

Read More

Mafanikio ya Kampeni ya Polio huko Gaza wakati mvutano wa Benki ya Magharibi unaendelea – Maswala ya Ulimwenguni

Kampeni hiyo imeongezwa hadi Jumatano ili kuhakikisha chanjo kamili, msemaji wa UN Stéphane Dujarric aliwaambia waandishi wa habari kwenye mkutano wa habari wa kawaida huko New York, akitoa mfano wa waratibu wa kibinadamu wa UN. Kama Jumatatu, siku ya tatu ya kampeni, wengine Watoto 548,000 walikuwa wamewekwa ndani, au asilimia 93 ya idadi ya walengwa….

Read More

Rais Mwinyi awasili nchini China

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi akimbatana na Mke wake Mhe. Mama Mariam Mwinyi amewasili katika uwanja wa ndege wa Pudong International Airport, Shanghai, China akitokea Doha, Qatar na kupokelewa na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, China Mhe. Khamis Mussa Omar. Rais Dk. Mwinyi na ujumbe…

Read More

DIWANI RORYA ALIA NA UFISADI TARURA

*ASIMULIA MBELE YA WANANCHI MILIONI 400/-  ZA DARAJA ZILIVYOPIGWA NA WAJANJA, MBUNGE AGUSWA Na MWANDISHI WETU-MARA DIWANI wa Kata Nyathorogo Halmashauri ya Wilaya ya Rorya mkoani Mara, Dalmas Nyagwal, ameweka wazi namna wajanja wachache ndani ya Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini (TARURA) wilayani hapa walivyokwamua kiasi cha Shilingi milioni 400 za ujenzi wa Daraja…

Read More

Sanaa inayoendeshwa na AI huweka 'mazingira ya kidijitali' kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa – Masuala ya Ulimwenguni

Maumbo dhahania ya rangi ya kijani, chungwa na nyeupe hutiririka ndani na nje ya nyingine katika muundo usio na kikomo, usiorudiwa, pamoja na muziki tulivu ambao huleta athari ya kudadisi kwa wale wanaoutazama kwa muda mrefu sana (kama mwandishi huyu). Ni vigumu sana kwa wajumbe katika Wiki ya Kiwango cha Juu na Mkutano wa Wakati…

Read More

Kumbe Diarra kamfunika hapa Camara

KIKOSI cha Yanga jana jioni kilishuka uwanjani kuvaana na JKT Tanzania katika mechi ya Ligi Kuu Bara, lakini kipa namba moja wa kikosi hicho, Djigui Diarra alikuwa anaumiza kichwa kwa alichokifanya dakika 1080 zilizopita sawa na mechi 12 alizocheza. Diarra ambaye huu ni msimu wa nne anacheza Ligi Kuu Bara, kabatini ana tuzo mbili za…

Read More