Rais Samia awaweka kikaaangoni watendaji wa ardhi

Dar/Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan amewataka watendaji wa ardhi nchini kubadilika kwa sababu wananchi wanawalalamikia  kwa rushwa, kujilimbikizia viwanja na kugawa kiwanja kimoja kwa watu wawili. Mbali na hilo, amewataka watumishi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi), kubadilika kwa kutokuwa mvinyo uleule kwenye chupa mpya. Rais Samia ameyasema hayo leo Jumatatu…

Read More

Halotel yaja na Data Kiwashe kuelekea msimu wa sikukuu

Na Imani Nathaniel, Mtanzania Digital Kampuni ya Mawasiliano ya Halotel imezindua Kampeni mpya inayofahamika kama ‘Data na Kiwashe’ ikiwa ni moja ya zawadi kuelekea msimu wa sikukuu ikijikita katika kumpa mteja nafasi ya kujishindia simu mbalimbali ikiwamo Samsung A15 na A35 kupitia mfumo wa ‘Lucky Droo’ yaani Droo ya Bahati hasa kwa wateja wapya wanaojiunga…

Read More

Vijana Zanzibar wakumbushwa uchaguzi wa haki na uwazi

Unguja. Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar (Zaeca) imesema rushwa imekuwa kikwazo katika mchakato wa uchaguzi na kusababisha kupotea kwa haki za wapiga kura na kuathiri matokeo ya uchaguzi. Hivyo, mamlaka hiyo imewataka vijana kuwa na ari ya mabadiliko kwa kushiriki kikamilifu katika kampeni za kuelimisha umma, kufichua vitendo vya rushwa na kuhimiza…

Read More

FIA yaipa Tanzania raundi ya tano ya ARC

CHAMA cha mchezo wa mbio za magari duniani, FIA kimetoa kalenda mpya ya mbio za magari ubingwa wa Afrika na Tanzania itaandaa raundi ya tano na si ya nne kama ilivyotangazwa awali. Kalenda hii mpya imesambazwa kwa wadau wa mchezo wa mbio za magari nchini na Chama kinachosimamia mchezo huu, AAT(Automobile Association of Tanzania). Kwa…

Read More

Mmoja afariki, mwingine ajeruhiwa na simba Ngorongoro

Arusha. Mtu mmoja Mkazi wa Kijiji cha Malambo, wilayani Ngorongoro mkoani hapa, Sironga Mepukori, amefariki dunia kutokana na majeraha makubwa aliyoyapata alipokuwa akijaribu kupambana na simba aliyevamia shule. Akizungumza na Mwananchi Digital kwa njia ya simu leo Alhamisi Juni 6, 2024, Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro, Kanali Wilson Sakulo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo. Amesema…

Read More