Kicheko cha matumizi ya umeme jua kwa wakulima

Dar es Salaam. “Hakuna mfanyabiashara anayetamani kupata hasara’. Hii ni kauli ya Emmanuel Mkinga (29) mkulima wa mazao ya biashara wilayani Bagamoyo mkoani Pwani akielezea namna gharama za kuendesha shamba zinavyochangia kupunguza faida kwa mkulima. Mkinga anasema: “Unavyofanya kilimo cha biashara kama mimi, lazima uhitaji uhakika wa umwagiliaji ambao mara nyingi tunatumia mafuta katika kuendesha…

Read More

TRA: Tutakusanya kodi bila migogoro na walipaji

Dar es Salaam. Kamishna Mkuu wa Mamalaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda amesema wataendelea kukusanya kodi kwa manufaa ya Taifa bila kuingia migogoro na walipakodi. Katika kufanikisha hilo amesema kama mamlaka wanaendelea kuimarisha mazingira ya ulipaji kodi kwa kujenga uhusiano na walipakodi nchini pamoja na kuboresha mazingira ya mfumo wa ulipaji kodi. Mwenda ameyasema…

Read More

Mastraika Mbeya wamkosha Massawe | Mwanaspoti

KATIKA kuhakikisha Mbeya Kwanza inafanya vizuri ili kutimiza malengo ya kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao, kocha wa timu hiyo, Emmanuel Massawe ameweka wazi kuridhishwa na safu yake ya ushambuliaji hadi sasa, tofauti na ilivyokuwa mwanzoni. Massawe alisema hadi sasa safu ya ushambuliaji imeonyesha matumaini makubwa tofauti na walivyoanza msimu na licha tu ya changamoto…

Read More

TRA, ZRA zikiongeza ufanisi, wachumi watia neno kuhusu mikopo

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza ufanisi katika makusanyo ya mapato yaliyofikia asilimia 97.67 katika mwaka wa fedha 2023/24, yakiwa yameongezeka kwa asilimia 14.5 ikilinganishwa na ya mwaka 2022/2023 Kufuatia ongezeko hilo, wataalamu wa uchumi wamesema ni vyema sasa nchi ikaanza kufadhili miradi yenyewe na kupunguza utegemezi wa mikopo kutoka nje. TRA…

Read More